picha

darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.

darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam.

Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Shukran kwa darsa nzuri zenye kuelimisha hasa katika ndoa ya kiislam. Allah akulipeni kwa hilo. Ninaishi Dodoma. Kama mnatoa msaada kwa vijana na mabint wa kiislam kupata wachumba naomba mnifahamishe In shaa Allah.



Namba ya swali 017

Waalykum salaamu warahmatullah wabarakaatuh,



Namba ya swali 017

Shukrani kwa mchango wako mzuri. Kwa sasa huduma hiyo hatutoi, ila tutaifikiria kama tutaweza kuidhibiti, na kuifanya bila ya kuwepo athari mbaya.



Namba ya swali 017

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1614

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 web hosting    ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰4 ai web app    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Hutuba ya Ndoa - Khutbat nikah

Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa

Soma Zaidi...
Maana ya swala

Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.

Soma Zaidi...
Nini maana ya twahara katika uislamu

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya twahara katika uislamu. Pia utakwenda kujifunza hukumu za twahara, aina za twahara na mambo mengineyo

Soma Zaidi...
Taasisi za Kifedha Katika Mfumo wa Uchumi wa Kiislamu

- Ni taasisi za kifedha zinazohusika na kuhifadhi akiba na mali za watu zenye thamani kubwa kama dhahabu, n.

Soma Zaidi...
Namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kutoa vilivyo halali

Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...