picha

Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.

Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo. Dawa za minyoo nilizokunywa ni vumtre



Namba ya swali 020

Pole sana



Namba ya swali 020

Endelea kupunguza unywaji wa pombe, ila tafuta hospitali yenye vipimo zaidi upate kuima



Namba ya swali 020

Tatizo la kujaa kwa mate kwenye mdomo kitaalamu hufahamika kama hypersalvation au sialorhea au ptyalism. Kikawaida huu si ugonjwa ila ni dalili ya magonjwa kama:-

1. uJauzito

2. maambukizi kwenye koo

3. vidonda ama uvimbe kwenye mdomo

4. usafi wa Mdomo kuwa mdogo

5. maambukizi ya maradhi kama kifua kikuu

6. mipasuko kwenye taya

7. maumbile ya ulimi



Namba ya swali 020

Sawa nitajitahidi kwenda kupima



Namba ya swali 020

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3673

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.

Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Namna ya Kumtunza Mtoto Njiti

​Kumtunza mtoto aliyezaliwa kabla ya muda (mtoto njiti) kunahitaji umakini mkubwa, uvumilivu, na upendo. Post hii inatoa mwongozo muhimu kuhusu huduma za msingi nyumbani, ikiwa ni pamoja na joto, lishe, na usafi, ili kuhakikisha mtoto anakua na kuwa na afya njema.

Soma Zaidi...
Madhara ya mwili kujaa sumu

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...