picha

Nimeshasaga mbegu za papai naomba ushauri jinsi ya kutumia.

Za leo!

Nimeshasaga mbegu za papai naomba ushauri jinsi ya kutumia.

Za leo! Nimeshasaga mbegu za papai naomba ushauri jinsi ya kutumia.



Namba ya swali 023

Tia kwenye asali, ama uji ama chai, Pia si lazima usage unaweza kutafuna mbegu mbichi



Namba ya swali 023

Ukatumia kwenyemaziwa inakuwa poa pia



Namba ya swali 023

Asante sana.



Namba ya swali 023

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2652

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 ai web app     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Vyakula gani ambavyo sitakiwi kula kama nina pressure ya kupanda

Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kula Matunda

Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa.

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MAJI MWILINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...