sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda

sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda

Habar za saiz samahn kwa ku kupigia cm muda muu nilikuwa napita pita fb nikakutana na captain yak juu ya magonjwa ya zinaa
Nikaona pia inanihus sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda na kuvimba na pind ninapo jipikicha kwa kujikuna naskia raha ya kupata unafuu
mpk sas sielew nasumbuliwa na mimi ila sitoi uchafu wowote wala kupata maumivu ni kuwashwa tu mpk pemben ya mapaja nawashwa sijui unanishaulije au unanisaidiaje kiongozi



Namba ya swali 030

Huwenda unasumbuliwa na fangasi,



Namba ya swali 030

Napata shida Sana nawashwa Alf Kwan mtu akiwa kwenye hali kama hii a kifanya mapenzi Kuna uwezekano wa kuambuza mtu?



Namba ya swali 030

Fika duka la dawa mwambie dawa ya fangasi wa kwenye mapaja, atakupatia. Anza na ya kupaka, hakikisha unapaka ukiwa safi na baada ya kukauka maji, yaanibuwe mkavj ukiwa na nguo za pamba zisizo bana Mambo yakiwa safi haiwezi chukuwa zaidi ya mwezi bila kupona kwa uwezo wa Mungu



Namba ya swali 030

Asnt nashkur kaka



Namba ya swali 030

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 270

Post zifazofanana:-

Mtume(s.a.w) Kulingania Uislamu Katika Mji wa Taif
Baada tu ya Mtume(s. Soma Zaidi...

MINYOO NA ATHARI ZAKE KIAFYA, NA NAMNA YA KUPAMBANA NA MINYOO NA DALILIZAKE.
Soma Zaidi...

Sababu za kushushwa kwa surat al-kafirum
SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s. Soma Zaidi...

fadhila za sura kwenye quran
FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya. Soma Zaidi...

STANDARD FOUR ENGLISH TEST 12
Soma Zaidi...

KATU USITAMANI MAUTI (KIFO) YAANI KUFA, HATA UKIWA NA MARADHI AMA UKIWA MCHAMUNGU UKIWA NI MUOVU MTENDA MADHAMBI MAKUBWA NA MADOGO
Soma Zaidi...

UPUNGUFU WA VYAKULA VYA MADINI
2. Soma Zaidi...

mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini. Soma Zaidi...

Nini dawa ya fangasi na Je ni kwel kwamba fangas huweza kuxababxh upungufu wa nguvu za kiume.
Soma Zaidi...

Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote? Soma Zaidi...

Fast
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Haki na Wajibu wa mume kwa mkewe na familia
Soma Zaidi...