picha

sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda

sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda

Habar za saiz samahn kwa ku kupigia cm muda muu nilikuwa napita pita fb nikakutana na captain yak juu ya magonjwa ya zinaa
Nikaona pia inanihus sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda na kuvimba na pind ninapo jipikicha kwa kujikuna naskia raha ya kupata unafuu
mpk sas sielew nasumbuliwa na mimi ila sitoi uchafu wowote wala kupata maumivu ni kuwashwa tu mpk pemben ya mapaja nawashwa sijui unanishaulije au unanisaidiaje kiongozi



Namba ya swali 030

Huwenda unasumbuliwa na fangasi,



Namba ya swali 030

Napata shida Sana nawashwa Alf Kwan mtu akiwa kwenye hali kama hii a kifanya mapenzi Kuna uwezekano wa kuambuza mtu?



Namba ya swali 030

Fika duka la dawa mwambie dawa ya fangasi wa kwenye mapaja, atakupatia. Anza na ya kupaka, hakikisha unapaka ukiwa safi na baada ya kukauka maji, yaanibuwe mkavj ukiwa na nguo za pamba zisizo bana Mambo yakiwa safi haiwezi chukuwa zaidi ya mwezi bila kupona kwa uwezo wa Mungu



Namba ya swali 030

Asnt nashkur kaka



Namba ya swali 030

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2018

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili za Utasa wa wanaume

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya mtoto wa kiume ama mtoto wa kike

Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza

Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.

Soma Zaidi...
Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.

Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Je dalili ya kuuma tumbo huanza baada ya wiki ngapi Toka mwanamke apate ujauzito?

Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao.

Soma Zaidi...
Madhara ya kiafya ya kupiga punyeto

Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...