Nasumbuliwa na fangasi, natokwa na uchafu ukeni, na mashavu ya uke yanawasha sana. Uchafu unaotoka ukeni unakuwa na harufu, lakini wakati mwingine hauna harufu
Tumia yoyote kati ya dawa hizi kupata juu ya mashavu ya yke
A.Clotrimazole
B.Miconazole
C.Tioconazole
D.Terconazole
E.Butoconazole
Zipo dawa nyingine kama fluconazoe (diflucan) vyema kufikakituo cha afya kwa matibabu zaidi. Soma zaidi kuhusu fangasi ukeni bofya hapa