Nasumbuliwa na fangasi, natokwa na uchafu ukeni, na mashavu ya uke yanawasha sana. Uchafu unaotoka ukeni unakuwa na harufu, lakini wakati mwingine hauna harufu



Namba ya swali 000

Tumia yoyote kati ya dawa hizi kupata juu ya mashavu ya yke
A.Clotrimazole
B.Miconazole
C.Tioconazole
D.Terconazole
E.Butoconazole

Zipo dawa nyingine kama fluconazoe (diflucan) vyema kufikakituo cha afya kwa matibabu zaidi. Soma zaidi kuhusu fangasi ukeni bofya hapa



Namba ya swali 000