Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo


VYAKULA VIZURI KWA VIDONDA VYA TUMBO


Hapo zamani ilifahamika kuwa chanzo cha vidonda vya tumbo ni vyakula. Lakini ukweli ni kuwa vyakula si chanzo cha vidonda vya tumbo ila vinaweza kufanya dalili za vidonda vya tumbo kuwa mbaya sana. Hata hivyo kuna vyakula vinapendelewa na ni salama kwa wenye vidonda vya tumbo. Makala hii inakwenda kukutajia vyakula ambavyo vinashauriwa kutumiwa na wenye vidonda vya tumbo:-



Vyakula vizuri kwa wenye vidoonda vya tumbo
1.Kabichi
2.Maziwa yaliyosindikwa
3.Maharagwe ya soya yaliyosindikwa
4.Jibini
5.Matango
6.Viazi vitamu
7.Vitunguu thaumu
8.Tangawizi
9.Nyegere na maepo
10.Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi.
11.Njegere




                   


Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 412

Post zifazofanana:-

Branches of Geography
Learn three branches of geography Soma Zaidi...

Masiku ya Tashiq, kuchinja na kufanya tawafu ya kuaga
8. Soma Zaidi...

je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?
Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini? Soma Zaidi...

Kitabu Cha Darsa za Sira
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

SHUGHULI ZA KILA SIKU
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

AMRI YA KUMFUATA MTUME (s.a.w9)
Amri ya Kumfuata Mtume (s. Soma Zaidi...

Sababu kuu za maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, Tumbo la ngiri na chango
Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake Soma Zaidi...

DUA WAKATI WA KURUKUU,KUITIDALI, KUSUJUDI NA NAMNA YA KUSOMA TAHIYATU
6. Soma Zaidi...

Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote? Soma Zaidi...

Haki za kielimu za mwanamke katika uislamu
Haki ya ElimuKatika Uislamu kujielimisha ni faradhi inayowahusu Waislamu wote, wanaume na wanawake: "Soma kwa jina ? Soma Zaidi...

Kitabu Cha Hadithi ya kifo cha Damu
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

tarekh 08
KULELEWA NA MAMA YAKE ALIPOFIKA MIAKA MINNEMtume (s. Soma Zaidi...