Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Dalili za upungufu wa vitamini C


DALILI ZA UPUNGUFU WA VITAMINI C


Makala hii inakwenda kukuletea dalili za upungufu wa vitamini c mwilini. Dalili hizo ni kama:-



1.Kupata ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)

2.Kutokwa na damu kwenye mafinzi

3.Mwili kushindwa kupambana na maambukizo ya mara kwa mara

4.Kuchelewa kupona kwa vidonda na majeraha

5.Kukauka na kukatika kwa nywele

6.Kupata majeraha na michubuko kwa urahisi

7.Kuvimba kwa mafinzi

8.Kutokwa na damu za pua

9.Kuongezeka kwa uzito

10.Ngozi kukauka na kupauka ama kufujaa kwa ngozi

11.Kuvimba kwa viungio na maumivu ya viungio

12.Udhaifu wa gamba gumu la meno.




                   




Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 181


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-