KAZI ALIZOFANYA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KABLA YA UTUME

KAZI ALIZOKUWA AKIFANYA MUHAMMAD (S.

KAZI ALIZOFANYA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KABLA YA UTUME


KAZI ALIZOKUWA AKIFANYA MUHAMMAD (S.A.W) ZA KUMPATIA RIZKI
Muhammad (s.a.w) hakuwaga na shughuli maalumu ya kuweza kumpatika kazi. Kama ilivyokuwa ni desturi ya mitume kuchunga mifugo kama mbuzi na kondoo hivyo hivyo kijana Muhammad (s.a.s) alikuwa akifanya kazi hii. Muhammad (s.a.s) alikuwa akichunga mifugo ya bani Sa’ad kwa malipo maalum.

Pia kijana Muhammad (s.a.s) alikuwa ni mfanya biashara. Aliweza kupata uzoefu wa biashara kutoka kwa Baba yake mdogo Abu Tallib ambaye pia alikuwa ni mfanya biashara. Alipokuwa na umri wa miaka 25 alisafiri kuwenda Sham (Syria) kwa ajili ya kufanya biashara. Na itambulike kuwa wakazi wa Makwa wakati huo walikuwa ni wafanya biashara wakubwa sana. Matajiri wengi wa Makkah walikuwa wakitegemea biasha. Kutokana na uadilifu, uaminifu na ukweli alokuwa nao kijana Muhammad (s.a.s) Bi Khadija alimtaka akamuuzie biashara zake Syria.

Bi khadija alikuwa ni katika wanawake wafanyabiashara wakubwa Mjini Mkkah. Alikuwa akiajiri wanaume kwa ajili yakufanyiwa biashara zake. Aliposikia sifa za Muhammad (s.a.s) alivutiwa kufanyabiashara nae. Hivyo akazungumza nae na awalikubaliana kuwa atamlipa zaidi kuliko wenzie. Akamtuma Muhammad (s.a.s) akiwa na mfanyakazi wa bi Khadija aitwaye Maisarah, aliwatuma waende kufanya biashara Syria. Basi Muhammad (s.a.s) alikubali ombi aba safari akaelekea kwenda Sham. Na katika safari hii Bi Khadija aliona miujiza mikubwa sana kwa Muhammad (s.a.s).


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2604

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Vita vya uhudi

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
vita vya ahzab, sababu ya kutokea vita hivi na mafunzo tunayoyapata

Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.

Soma Zaidi...
Historia ya Watoto Wawili wa Nabii Adam

β€œNa wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): β€œNitakuua”.

Soma Zaidi...
Kuandaliwa kwa Muhammad kabla ya kupewa utume

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...