OCR

OCR

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

OCR

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya tisa

.

                                 JIFUNZE MATUIZI YA OCR KATIKA SIMU YAKO
OCR nifupisho cha optical character recognition. Ni mchakato wa kubadilisha picha ya maandishi au maandishi yaliyoandikwa kwenye picha kuwa maandishi ya kawaida ambayo unaweza ukayahaisha kwengine kama kukopi.
Tokeo la picha la OCR
Yaani kwa mfano umetumiwa picha ambayo ina maandishi na unataka kuyakopi maandishi hayo ukayapest kwengine hivyo mfumo huu unatumia OCR. Kwa mfano katika picha hii hapa tunataka kuchukuwa hayo maneno ili tukayapest kwenye text za kawaida. Au kwa mfano umetumiwa picha iloandikwa ujumbe mzuuri na ukataka kumtumia mtu kwa text za kawaida hivyo hakuna haja ya kusumbuka kuiandika tena kwa vidole vyako hivyo tumia OCR ili uweze kuipest text yako. sasa hebu tuone jinsi ya kufanya mchakato huu...... nitaonesha kwa hatua namna ambavyo tutakavyoibadilisha picha hiyo hapo chini kuwa text za kawaida kwa kutumia simu zetu.


1. Kwa nza unatakiwa uwe na application ya kuweza kubadilisha picha ya maandishi kuwa maandishi. Twende play kisha ukadaunlod application iitwayo TEXT FAIRY (OCR SCANNER)
2. Ifunguwe kisha uchaguwe picha yako unayotaka kuikopi maneno yake angalia video hapo chini.
3. Ikisha aliza kuichakata picha yako itakuletea text utaweza kuzikopi au kuzitengezea PDF. Pia kuna kipengele cha kuchaguwa lunga kulingana na picha yako
Huduma hii pia inapatikana kwa kutumia kompyuta abapo unaweza kubadilisha hard copy zilizoskaniwa na kuzifanya ziwe soft copy.





        

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1138

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus

Soma Zaidi...
Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi
Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
 KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook
KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook

Facebook ni mtandao wa kwanza wa kijamii (social media) unaotembelewa na watu wengi.

Soma Zaidi...
EPUKA MALWARE (VIRUSI, WORM NA TROJAN UKIWA MTANDAONI)
EPUKA MALWARE (VIRUSI, WORM NA TROJAN UKIWA MTANDAONI)

Malware ni neno pana na watu wengi si wenye kulitumia.

Soma Zaidi...
 JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?
JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili.

Soma Zaidi...
Chanzo
Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta
Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta

Soma Zaidi...
Tofauti ya Trojan na virusi
Tofauti ya Trojan na virusi

Posti hii inakwenda kukupa tofauti za trojani na virusi

Soma Zaidi...
Sababu za simu kusumbua mtandao
Sababu za simu kusumbua mtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sabau za simu kusumbua mtandao

Soma Zaidi...