Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).

Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).



Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.s) tunajifunza yafuatayo:



(i) Waislamu tunadhima ya kusimamisha uchumi halali katika jamii pamoja na kuamrisha mema na kukataza maovu kwa ujumla.



(ii) Tusimchelee yeyote katika harakati za kuhuisha na kusimamisha Uislamu katika jamii.



(iii) Tukisimama kidete kuifuata na kuisimamisha Dini ya Allah (s.w)katika jamii Allah(s.w) atatunusuru na kuthubutisha miguu yetu juu ya makafiri.



(iv) Waislamu wakijizatiti kusimamisha Uislamu katika jamii watawashinda makafiri pamoja na nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi walizonazo.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2075

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mikataba ya aqabah

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Je waislamu walishindwa vita vya Uhudi?

Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri?

Soma Zaidi...
Mjadala juu ya ndoa ya Mtume Muhammad s.a.w na bi Khadija.

Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 16. Hapa utajifunza maandalizi wa mjadala wa ndoa hizi.

Soma Zaidi...
Mtume Muhammad s.a. w akutana na Bahira

Sura na historia ya Mtume Muhammad s.a. w sehemu ya 11

Soma Zaidi...
Kwanini mwanadamu hawezi kuunda dini sahihi

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...