VITAMINI NA KAZI ZAKE


image


Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.


Vitamini na kazi zake

1.Vitamini A

Hii ni Aina ya vitamini ambapo kazi yake kubwa usaidia kwenye kuona, kutengeneza Ute, kuungarisha mifupa na meno pia, kuzaliana na kuongeza kinga mwilini.kwa hiyo kazi ya vitamini A ni kubwa sana mwilini kama tulivyoona hapo juu.

 

vitamini A upatikana kwenye wanyama mfano nyama, maini, na maziwa, tena upatikana kwenye matunda na mamboga mboga ya majani, pia kwenye mafuta ya mawese na mizeituni tena upatikana kwenye mahindi ya njano, na kwenye viazi vya njano na vyakula vingine mbalimbali.

 

Ukosefu wa vitamin A usababisha mtu kuwa kopofu, matatizo kwenye lymp node na kwenye ngozi maambukizi ya kila ugonjwa  na kukua kunaleta sihida hasa kwa watoto kudumaa, kwa hiyo tunaona hatari iliyopo kwenye kukosa vitamini A kunavyoweza kuleta matatizo mengi na ya hatari kw hiyo tunapaswa kula vyakula vyenye vitamini A kwa wingi.

 

2. Vitamini D

Vitamini D usaidia katika shughuli mbalimbali kama ifuayavyo, katika kutengeneza na kuimarisha mifupa na meno, kazi ya vitamini D ni kubwa sana hasa kwa mifupa bila vitamini D mifupa uweza kuwa laini na hali hii usababisha magonjwa ya viungo na mgongo kwa sababu ya kuishiwa Vitamini D mwilini.

 

Vitamini D utokana na mwanga wa jua kwenye mwili hasa hasa jua la asubuhi Lina wingi wa vitamini D kuliko jua lingine kwa hiyo ndo maana watu upenda sana kuota jua la asubuhi Ili kuongeza vitamini D mwilini.na samaki,maini,mayai,nyama, cheese na maziwa navyonuongeza kiasi Cha wingi wa vitamini D mwilini.

 

Ukosefu wa vitamin D usababisha mifupa kuwa milaini hali ambayo usababisha maambukizi kwenye mifupa kwa hiyo hali hii upelekea maumivu kwenye kiuno, mgongo na sehey nyingine nyingi za mwili, na pia Ukosefu wa vitamini D usababisha meno kuoza na kusababisha madhara makubwa kwenye  kinywa na Maambukizi mbalimbali ujitokeza.

 

 

3.Vitamini E

Ni vitamini ambavyo usaidia kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo,usababisha watu kuwa na uwezo wa kuzaliana, tena usaidia kutengeneza haemoglobin ambayo usaidia kubeba damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na pia usaidia kama Antioxidant kwenye mwili.

 

vitamini E upatikana kwenye mamboga mboga ya majani kama vile kabeji, mchicha, chainizi,na mboga zote za majani,pia pengine ambapo upatikana kwenye maharage, kunde,njegere, njugu Mawe, karanga na kwenye soya beans pote tunapata vitamini E kwa hiyo kwenye vitu ambapo vitamini E utoka tumeona kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula hivyo.

 

kwa hiyo tusipopata vitamini E tunaaweza kupata magonjwa ya macho ambayo yanaweza kuleta shida katika maisha yetu hasa kwa watoto wadogo wanapaswa kupata vitamini E Ili kuzuia uharibifu wa macho ambao unaweza kuleta shida kwenye maisha yetu.

 

4,Vitamini K 

Ni vitamini ambavyo usaidia katika mwili wa binadamu kama ifuayavyo, kusaidia damu kuganda pale mtu akipata jeraha damu utoka kama Kuna upungufu wa vitamini K damu uendelee kutoka na kusababisha magonjwa nyemelezi kama Vile Anaemia lakini kama Kuna vitamini K damu utoka na baadae vitamini K usaidia damu hiyo kuganda na Mtu hawezi kupata Anaemia.

 

vitamini K upatikana kwa wingi katika vyakula mbalimbali kama vile kwenyemboga za majani na Vitamini K utengenezwa na bakteria kwenye utumbo mkubwa na mdogo Aina hii tunaaweza kusema kwamba mwili ujitengenezea vitamini K kutokana na bakteria kwenye mwili. Kama hakuna vitamini K mtu kwenye mwili wa binadamu mtu ana hatari ya kupoteza damu kwa wingi na kusababisha Anaemia.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Njia za kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI Soma Zaidi...

image tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito . Soma Zaidi...

image Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi. Soma Zaidi...

image Utajuwaje kama kidonda kupona
Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kuhakikisha kama kidonda kimepona au la. Soma Zaidi...

image Nguo zinazovaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi nguo za kuvaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake, hizi ni nguo ambazo wahudumu wa afya wanapaswa kuzivaa wakati wa upasuaji kwa ajili ya kuwakinga na Maambukizi kati ya wahudumu wa afya na wagonjwa pia Soma Zaidi...

image Namna Ugonjwa wa UKIMWI unavyoambukizwa.
UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inaweza pia kuenea kwa kugusa damu iliyoambukizwa au kutoka kwa mama hadi kwa mtoto wakati wa ujauzito, kuzaa au kunyonyesha.Inaweza kuchukua miaka kabla ya VVU kudhoofisha mfumo wako wa kinga hadi kuwa na UKIMWI. Hakuna tiba ya VVU/UKIMWI, lakini kuna dawa ambazo zinaweza kupunguza kasi ya kuendelea kwa ugonjwa.Dawa hizi zimepunguza vifo vya UKIMWI katika mataifa mengi yaliyoendelea. Soma Zaidi...

image Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga
Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk, Soma Zaidi...

image Dalili za jipu la jino.
Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti. Soma Zaidi...

image Dalili za UTI kwa wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanaume Soma Zaidi...