Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

VYAKULA VYA FATI


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini


VYAKULA VYA FATI

1. Karanga

2. Nazi

3. Maziwa

4. Mayai

5. Korosho

6. Palachichi

7. Nyama

8. Samaki

9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.

2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini

3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati

4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60

5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 ICT       ðŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Bongoclass Tags AFYA , vyakula , ALL , Tarehe 2021-10-27     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 1030



Post Nyingine


image Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni. Soma Zaidi...

image Madhara ya vyakula vya kisasa
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka Soma Zaidi...

image Faida za uyoga mwekundu
Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin B
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu maji/ onion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin B
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

image Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi
Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona. Soma Zaidi...