Bongoclass

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL
FEATURED STORY

SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo ...

Soma Makala

Makala Mpya:

Jinsi ya Kuficha Faili Muhimu

Makala hii inakufundisha mbinu rahisi za kuficha faili muhimu kwenye simu. Tutajifunza kuhusu matumizi ya "Secure Folder", programu za kufunga......

Jinsi ya Kulinda Screen ya Simu

Kioo cha simu ni sehemu nyeti inayohitaji utunzaji maalum. Makala haya yatafundisha jinsi ya kutumia vifaa vya kinga, mazoea sahihi......

Jinsi ya Kutambua Chaja Bandia

Somo hili linakupa mbinu za haraka na rahisi za kutofautisha kati ya chaja halisi na chaja bandia. Tutachunguza tofauti katika......

Jinsi ya Kuhifadhi Namba za Simu

Kuhifadhi namba za simu ni hatua muhimu inayomsaidia mtu kulinda mawasiliano yake na kuepuka usumbufu unaoweza kutokea wakati simu inapopotea,......

About

Kuhusu Bongoclass

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.

Mchanganyiko