Adhkari unazoweza kuomba kila siku

Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu

ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alivyozungumza na masahaba zake. 1.amesema Mtume"‏ ุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฐู‘ููƒู’ุฑู ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูˆูŽุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู ุงู„ู’ุญูŽู…ู’ุฏู ู„ูู„ู‘ูŽู‡ู ‏"‏ “bora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤh” (amepokea Tirmidh).

2.Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "‏ ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ ุนูŽุจู’ุฏู ูŠูŽู‚ููˆู„ู ูููŠ ุตูŽุจูŽุงุญู ูƒูู„ู‘ู ูŠูŽูˆู’ู…ู ูˆูŽู…ูŽุณูŽุงุกู ูƒูู„ู‘ู ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุฉู ุจูุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ู„ุงูŽ ูŠูŽุถูุฑู‘ู ู…ูŽุนูŽ ุงุณู’ู…ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ูููŠ ุงู„ุฃูŽุฑู’ุถู ูˆูŽู„ุงูŽ ูููŠ ุงู„ุณู‘ูŽู…ูŽุงุกู ูˆูŽู‡ููˆูŽ ุงู„ุณู‘ูŽู…ููŠุนู ุงู„ู’ุนูŽู„ููŠู…ู ุซูŽู„ุงูŽุซูŽ ู…ูŽุฑู‘ูŽุงุชู ููŽูŠูŽุถูุฑู‘ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ‏" “Mja yeyote atakayesema ‘Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซm’ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochote” (Amepokea Tirmidh).

3.mtume amesema "‏ ู…ูŽู†ู’ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุญููŠู†ูŽ ูŠูู…ู’ุณููŠ ุฑูŽุถููŠุชู ุจูุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฑูŽุจู‘ู‹ุง ูˆูŽุจูุงู„ุฅูุณู’ู„ุงูŽู…ู ุฏููŠู†ู‹ุง ูˆูŽุจูู…ูุญูŽู…ู‘ูŽุฏู ู†ูŽุจููŠู‘ู‹ุง ูƒูŽุงู†ูŽ ุญูŽู‚ู‘ู‹ุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูุฑู’ุถููŠูŽู‡ู ‏"‏ “Mwenye kusema jioni ‘Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyan’ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhia” (Amepokea tirmidh).

4.Mtume alimwambia al-baraa IBN ‘Aazib kuwa “ุฃูŽู„ุงูŽ ุฃูุนูŽู„ู‘ูู…ููƒูŽ ูƒูŽู„ูู…ูŽุงุชู ุชูŽู‚ููˆู„ูู‡ูŽุง ุฅูุฐูŽุง ุฃูŽูˆูŽูŠู’ุชูŽ ุฅูู„ูŽู‰ ููุฑูŽุงุดููƒูŽ ููŽุฅูู†ู’ ู…ูุชู‘ูŽ ู…ูู†ู’ ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุชููƒูŽ ู…ูุชู‘ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ููุทู’ุฑูŽุฉู ูˆูŽุฅูู†ู’ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ูˆูŽู‚ูŽุฏู’ ุฃูŽุตูŽุจู’ุชูŽ ุฎูŽูŠู’ุฑู‹ุง ุชูŽู‚ููˆู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูู…ู‘ูŽ ุฅูู†ู‘ููŠ ุฃูŽุณู’ู„ูŽู…ู’ุชู ู†ูŽูู’ุณููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽูˆูŽุฌู‘ูŽู‡ู’ุชู ูˆูŽุฌู’ู‡ููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽููŽูˆู‘ูŽุถู’ุชู ุฃูŽู…ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุฑูŽุบู’ุจูŽุฉู‹ ูˆูŽุฑูŽู‡ู’ุจูŽุฉู‹ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽุฃูŽู„ู’ุฌูŽุฃู’ุชู ุธูŽู‡ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ู„ุงูŽ ู…ูŽู„ู’ุฌูŽุฃูŽ ูˆูŽู„ุงูŽ ู…ูŽู†ู’ุฌูŽุง ู…ูู†ู’ูƒูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุขู…ูŽู†ู’ุชู ุจููƒูุชูŽุงุจููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽู†ู’ุฒูŽู„ู’ุชูŽ ูˆูŽุจูู†ูŽุจููŠู‘ููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽุฑู’ุณูŽู„ู’ุชูŽ ‏"‏ ‏

“je nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema ‘'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบ“ahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤ€mantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsalt’ (Amepokea Tirmidh).

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 2184

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 web hosting    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DUA DHIDI YA WASIWASI, UCHAWI NA MASHETANI

DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1.

Soma Zaidi...
NYAKATI AMBAZO DUA HUJIBIWA

NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.

Soma Zaidi...
Dua za kuondoa wasiwasi, woga na kujikinga na uchawi, na mashetani

Post hii itakufundisha dua za kuomba wakati wa woga, wasiwasi na kujikinga na wachawi na mashetani

Soma Zaidi...
Dua za kuwaombea wazazi

Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe.

Soma Zaidi...
MASHARTI YA KUKUBALIWA KWA DUA

MASHART YA KUKUBALIWA KWA DUA.

Soma Zaidi...
JINSI YA KUOMBA DUA ILI IKUBALIWE NA ALLAH

Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.

Soma Zaidi...
Wajbu wa wazazi kwa watoto wao

Wajibu wa Wazazi kwa Watoto Wazazi wanawajibu kwa watoto wao.

Soma Zaidi...
HUU NDIO USIA WA MTUME KWA WAISLAMU

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ู‡ูุฑูŽูŠู’ุฑูŽุฉูŽ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฑูŽุฌูู„ู‹ุง ู‚ูŽุงู„ูŽ ู„ูู„ู†ูŽู‘ุจููŠูู‘ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… ุฃูŽูˆู’ุตูู†ููŠ.

Soma Zaidi...