Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua

Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.

Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua



Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Bofya hapa


DALILI 10 ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUA
Kwa muda mreefu mwanamke amesubiria siku ya kujifungua na mtoto mpya kutokea duniani. Wanawake wanahitaji kuitambua siku hii vyema ili yasijetokea mengine mabaya. Kwa kuwa dalili hizi zinakuja kwa namna tofauti anaweza kujikuta mjamzito akamzalia mwanae kwenye tundu la choo. Makala hii itakuorodheshea dalili 10 za uchungu wa kujifungua



Dalili 10 za kukaribia kujifungua
1.mtoto anaanza kushuka maeneo ya kwenye nyonga. Kwa wanawake wengi wanaanza kuona hali hii wiki mbili ama nne kabla ya kujifungua.
2.Njia ya mimba (cervix) huanza kuachia. Hii ni sehemu inayounganisha uke na sehemu ya ndani ya mfuko wa mimba.
3.maumivu ya tumbo yanaongezeka pamoja na ya mgongo
4.Viungio vyako utaviona kama vinaachiana
5.Unaweza kuharisha
6.Kuongezeka kwa uzito kutakata kabisa uzito utakuwa hauongezeki
7.Uchovu unakuwa mkali zaidi

8.Uke unaanza kutoa uteleziutelezi
9.Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara kuongezeka
10.Kutokwa na maji kwenye uke.



Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Bofya hapa



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 21195

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari wakati wa ujauzito.

Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa watu wenye Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik

Soma Zaidi...
Tabia za Ute wa siku za hatari kupata mimba au ovulation

Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...