AINA KUU TATU ZA MVUNJIKO WA VIUNO VYA MWILINI NA MIFUPA


image


Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.


Aina tatu za mvunjiko.

1. Kuvunjika ambako uambatana na kidonda kilicho wazi, hii ni Aina ya kuvunjika ambako uambatana na kidonda ambacho linakuwa wazi pengine na mfupa uonekana kuwa umevunjika na kidonda juu yake, kwa hiyo ukipata mgonjwa kama huyu kitu Cha kwanza kabisa ni kusafisha kidonda na kukifunga vizuri kusudi kuepuka madhara ya kuingiliwa na bakteria, hasa Haina hii ya kuvunjika ikitokea Mtu akiwa mbali na hospitalin hatua ya kwanza kabisa ni lazima kuzuia kuvuja kwa damu kwa Maana vidonda kama hivi uambatana na kuvuja damu.

 

unaweza kutafuta kitambaa kizuri ambacho ni kisafi unamfunga mgonjwa Ili damu isiendelee kutoka, pia unahakikisha unamfunga sehemu iliyopata ajali au iliyovunjika Ili kama ni mguu usiende una nesanesa hii inaweza kusababisha madhara mengine au kuendelea kuwepo kwa maumivu.

 

2. Kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu iliyovunjika, 

Hii ni Aina nyingine ya kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu ambapo mtu amavunjika, Aina hii ya kuvunjika uleta maumivu makali sana kwa mgonjwa hali ambayo umfanya mgonjwa kusikia maumivu makali, Aina hii ya kuvunjika usababisha kuvujia kwa ndani kwa hiyo mtu kama amevinjika namna hii unapaswa kugusagusa mguu III kuangalia hali yake na pia Aina hii ya kuvunjika inapaswa mtu afungwe vizuri Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara mengine .

 

3. Aina nyingine ya kuvunjika ni Ile ya kuharibika kwa mishipa inayosafilisha damu yote yaani artery, veini na kapilali zote zinaharibika na pia Neveu zinaharibika na tisu zilizozunguka zinaharibika, mtu aliyecunjika namna hii anaweza hasisukie maumivu yoyote kwa sababu ya kuharibika kwa sehemu za nevu ambazo upelekea taarifa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine, kwa hiyo kwa upande wa wahudumu inabidi kufuata kila hatua Ili kuweza kumhudumia huyu Mgonjwa na kupunguza maumivu kwa Sababu akipona tu anasikia maumivu kama kawaida

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Faida za chanjo
Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

image Kauli za wataalamu wa afya
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu kauli mbalimbali za wataalamu wa afya Soma Zaidi...

image Dalili za presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katika hali nadra, mapigo ya moyo yanaweza kuwa dalili ya hali mbaya zaidi ya moyo, kama vile mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida ambayo inaweza kuhitaji matibabu. Soma Zaidi...

image Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha Soma Zaidi...

image Sababu za vidonda sugu vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu Soma Zaidi...

image Matokeo ya maumivu makali.
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu makali. Soma Zaidi...

image Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.
 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.  Soma Zaidi...

image Dalili za maumivu ya hedhi
Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine, Maumivu ya hedhi yanaweza kuwa makali kiasi cha kuathiri shughuli za kila siku kwa siku chache kila mwezi. Soma Zaidi...

image Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana. Soma Zaidi...