Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,

Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake.

1.vyakula vya wanga.

Ni Aina mojawapo ya vyakula ambayo kazi yake kuu ni kuongeza nguvu kwenye mwili,maana mwili bila vyakula vyenye wanga ni matatizo makubwa yanayoweza kujitokeza, vyakula vya ni Kama vile,  mihogo, mahindi, viazi vitamu na viazi vikuu, maharage , mahindi na vyakula vingine vingi.

 

Ukosefu wa vyakula vya wanga mtu anaweza kupata magonjwa yafuatayo kama vile mwili kukosa nguvu, kukosa mafuta kwenye ngozi ya juu, misuli kulegea, kukonda na kukosa nguvu mwilini kwa hiyo ni muhimu kula sana vyakula vya wanga Ili kupata mwili nguvu.

 

3. Vyakula vya mafuta.

Hivi ni vyakula ambavyo utumika kuongezeka nguvu kwenye mwili ikiwa kiasi Cha wanga ni kidogo kwa hiyo mtu akikosa wanga anaanza kutumia vyakula vya mafuta na pia vyakula vya mafuta usaidia kuongeza nguvu kwenye mwili.na pia vyakula vya mafuta usaidia kusafirisha vitamini D, vitamini A, vitamini E, na Vitamini K kwenye mwili.

 

Vyakula vya mafuta upatikana kwenye wanyama kama vile mafuta ya ngombe na kwenye mimea kama vile mafuta kutoka kwenye alizeti, pamba na mimea mwingine mingi ambayo utoa mafuta.ukosefu wa mafuta mtu anaweza kuwa na kinga mibaya kwenye mwili na mwili kuwa na makovu pengine nywele kuisha kwenye kichwa kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye mafuta Ila kwa kiwango kidogo ukiulinganisha na vyakula vingine.

 

5. Vyakula vya protein

hivi ni vyakula ambavyo ufanya kazi kubwa mwilini kama vile, kusaidia katika makuzi hasa kwa watoto wadogo na pia kusaidia kuponyesha kwa viungo vilivyoharibika na pia usaidia kutengeneza enzyme, homoni, na pia ni asili ya nguvu kwenye mwili.

 

proteini upatikana kwenye wanyama kama vile nyama, maini , maziwa na cheese na pia Kuna wadudu kama vile senene na kumbikumbi nao pia usababisha kuongezeka kwa protini mwilini.ukosefu wa protein usababisha kudumaa hasa kwa watoto na kinga kuwa ndogo kwenye mwili na pia kuvimba miguu na sehemu nyingine za mwili ambapo kwa kitaalamu huitwa (oedema).

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2921

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...
Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kula njegere

zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?

Soma Zaidi...
Faida za kula viazi mbatata

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata

Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kula ukwaju

Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...