image

Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,

Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake.

1.vyakula vya wanga.

Ni Aina mojawapo ya vyakula ambayo kazi yake kuu ni kuongeza nguvu kwenye mwili,maana mwili bila vyakula vyenye wanga ni matatizo makubwa yanayoweza kujitokeza, vyakula vya ni Kama vile,  mihogo, mahindi, viazi vitamu na viazi vikuu, maharage , mahindi na vyakula vingine vingi.

 

Ukosefu wa vyakula vya wanga mtu anaweza kupata magonjwa yafuatayo kama vile mwili kukosa nguvu, kukosa mafuta kwenye ngozi ya juu, misuli kulegea, kukonda na kukosa nguvu mwilini kwa hiyo ni muhimu kula sana vyakula vya wanga Ili kupata mwili nguvu.

 

3. Vyakula vya mafuta.

Hivi ni vyakula ambavyo utumika kuongezeka nguvu kwenye mwili ikiwa kiasi Cha wanga ni kidogo kwa hiyo mtu akikosa wanga anaanza kutumia vyakula vya mafuta na pia vyakula vya mafuta usaidia kuongeza nguvu kwenye mwili.na pia vyakula vya mafuta usaidia kusafirisha vitamini D, vitamini A, vitamini E, na Vitamini K kwenye mwili.

 

Vyakula vya mafuta upatikana kwenye wanyama kama vile mafuta ya ngombe na kwenye mimea kama vile mafuta kutoka kwenye alizeti, pamba na mimea mwingine mingi ambayo utoa mafuta.ukosefu wa mafuta mtu anaweza kuwa na kinga mibaya kwenye mwili na mwili kuwa na makovu pengine nywele kuisha kwenye kichwa kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vyenye mafuta Ila kwa kiwango kidogo ukiulinganisha na vyakula vingine.

 

5. Vyakula vya protein

hivi ni vyakula ambavyo ufanya kazi kubwa mwilini kama vile, kusaidia katika makuzi hasa kwa watoto wadogo na pia kusaidia kuponyesha kwa viungo vilivyoharibika na pia usaidia kutengeneza enzyme, homoni, na pia ni asili ya nguvu kwenye mwili.

 

proteini upatikana kwenye wanyama kama vile nyama, maini , maziwa na cheese na pia Kuna wadudu kama vile senene na kumbikumbi nao pia usababisha kuongezeka kwa protini mwilini.ukosefu wa protein usababisha kudumaa hasa kwa watoto na kinga kuwa ndogo kwenye mwili na pia kuvimba miguu na sehemu nyingine za mwili ambapo kwa kitaalamu huitwa (oedema).





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1757


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope Soma Zaidi...

Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

Vyakula muhimu kwa afya ya uzazi wa mwanaume
Vyakula vya kuongeza Nguvu za kiume Soma Zaidi...

Madhara ya mafuta mengi mwilimi
Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi Soma Zaidi...

Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...

AINA ZA VYAKULA NA UPUNGFU WA VIRUTUBISHO
zijuwe aina za vyakula Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama Soma Zaidi...

Chakula cha minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.
Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii Soma Zaidi...

Faida za kula Palachichi
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako Soma Zaidi...

Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake Soma Zaidi...

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...