Aina kuu za dini
Katika kipengele hichi tutajifunza aina kuu mbili za dini.
​​​​​​​Aina kuu za Dini.
- Kuna aina kuu mbili za dini hapa ulimwenguni;
- Dini ya Allah (s.w).
- Dini za wanaadamu.
- Dini ya Allah (s.w).
- Ni Uislamu ambao ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata kikamilifu muongozo wa Allah (s.w).
2.Dini za Watu (wanaadamu).
- Ni mifumo ya kuendeshea maisha iliyowekwa na wanaadamu inayotokana na matashi yao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 ai web app 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
NGUZO ZA IMANI
Tunajifunza katika Qur-an na hadithi sahihi kuwa Imani ya Kiislamu imejengwa juu ya nguzo sita zifuatazo:1 Kumuamini Allah (s.
Soma Zaidi...Maamrisho ya kushikamana nayo
Yale tunayoamrishwa kushikamana nayo ni haya yafuatayo: (i)Kumuabudu Allah (s.
Soma Zaidi...(c)Vipawa vya Mwanaadamu
Vipawa vya mwanaadamu ni sababu nyingine inayomfanya mwanaadamu asiweze kuishi bila ya kufuata dini moja au nyingine.
Soma Zaidi...Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu)
Soma Zaidi...