Katika kipengele hichi tutajifunza aina kuu mbili za dini.
​​​​​​​Aina kuu za Dini.
- Ni Uislamu ambao ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata kikamilifu muongozo wa Allah (s.w).
2.Dini za Watu (wanaadamu).
- Ni mifumo ya kuendeshea maisha iliyowekwa na wanaadamu inayotokana na matashi yao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Vipawa vya mwanaadamu ni sababu nyingine inayomfanya mwanaadamu asiweze kuishi bila ya kufuata dini moja au nyingine.
Soma Zaidi...Ukizingatia maana halisi ya dini, kuwa dini ni utaratibu wa maisha, utadhihirikiwa kuwa umbile la mwanaadamu ni la kidini.
Soma Zaidi...Kwa kutumia akili yako unaweza kumtambua Allah bila ya shaka yeyote ile. Postbhii itakufundisha nafasi ya akilonkatika kutambuwa uwepo na Uwezo wa Allah.
Soma Zaidi...Mafundisho ya mitume ni eneo lingine linalo thibitisha kuwepo Allah (s.
Soma Zaidi...Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...