picha

Aina kuu za dini

Katika kipengele hichi tutajifunza aina kuu mbili za dini.

​​​​​​​Aina kuu za Dini.

  1. Dini ya Allah (s.w).
  2. Dini za wanaadamu.

 

  1. Dini ya Allah (s.w).

-  Ni Uislamu ambao ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata kikamilifu muongozo wa Allah (s.w).

 

2.Dini za Watu (wanaadamu).

-  Ni mifumo ya kuendeshea maisha iliyowekwa na wanaadamu inayotokana na matashi yao.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 5152

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Mgawanyo wa Elimu Usiokubalika katika uislamu.

Kipengele hichi kinahusu mgawanyiko wa elimu usiokubalika katika uislamu.sababu za mgawanyiko wa elimu udio sahihi katika uislamu.

Soma Zaidi...
NGUZO ZA IMAN

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat As-Sajida

Nao husema (kwa maskhara): "Je, tutakapopotea katika ardhi, (tukageuka mchanga) ndio tutarudishwa katika umbo jipya?

Soma Zaidi...
Kujiepusha na maringo na majivuno

Maringo, majivuno, majigambo, dharau ni vipengele vya kibri.

Soma Zaidi...