picha

Aina kuu za dini

Katika kipengele hichi tutajifunza aina kuu mbili za dini.

​​​​​​​Aina kuu za Dini.

  1. Dini ya Allah (s.w).
  2. Dini za wanaadamu.

 

  1. Dini ya Allah (s.w).

-  Ni Uislamu ambao ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata kikamilifu muongozo wa Allah (s.w).

 

2.Dini za Watu (wanaadamu).

-  Ni mifumo ya kuendeshea maisha iliyowekwa na wanaadamu inayotokana na matashi yao.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 5468

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 web hosting     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

jamii muongozo

Haja ya Mwongozo kutoka kwa Allah (s.

Soma Zaidi...
Mafundisho ya Mitume

Mafundisho ya mitume ni eneo lingine linalo thibitisha kuwepo Allah (s.

Soma Zaidi...
KUAMINI MALAIKA

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya Ilhamu katika uislamu?

Ilhamu ni moja katika njia ambazo Allah huwasiliana na wanadamu na kuwafundisha mambo mablimbali.

Soma Zaidi...