Aina za kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen

Aina za kifua kikuu.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua aina ya pili ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili, na yenyewe iko kwenye makundi mawili,ambapo kundi la kwanza ni lile ambalo kama Ugonjwa umekaa mda mrefu bila kutibiwa na kundi la pili huwa na sifa mbalimbali na za kawaida ambazo uweza kutibika kwa urahisi kuliko la kwanza.

 

2. Kwa hiyo kundi la kwanza mgonjwa uwa na matatizo kwenye sehemu ya ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Tb meningitis ambapo mgonjwa uweza kufikia pabaya hasa kwa upande wa kufikiri pale Ugonjwa kama haujatibiwa mapema.

 

3. Matatizo kwe uti wa mgongo.

Kwa sababu ni vigumu sana kutambua kwamba Tatizo kwenye uti wa mgongo ni kutokana na kuwepo kwa kifua kikuu hali ambayo Usababisha maumivu ya mda mrefu kwenye uti wa mgongo na pengine watu wanaweza kutumia madawa mengi ya kutibu mgongo bila mafanikio yoyote kwa hiyo kupima ni lazima.

 

4. Vile vile kuna uwezekano wa kuwepo kwa ma tatizo kwenye via vya uzazi kwa kuwepo kwa maumivu yasiyokuwa na kipimo na mgonjwa anaweza kutumia dawa bila ya kupata nafuu yoyote ila akija kuchukua vipimo na kugundua kwamba ni Tb anaweza kutumia dawa na kupona.

 

5. Kwa kuwa aina hii ya Tb haijajulikana sana na watu na pia ni vigumu kugundua kwa hiyo ikitokea mtu akapata maumivu au hali isiyoeleweka kwenye sehemu mbalimbali kama vile kwenye via vya uzazi, sehemu za moyo hasa kwenye perikadium, kwenye joint, kwenye tumbo ni lazima kupima vipimo mbalimbali ili kugundua kama ni Tb au ni kitu kingine kwa sababu ni vigumu sana kugundua Tb ya kwenye sehemu mbalimbali kama hizi.

 

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/04/11/Monday - 10:27:31 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1053

Post zifazofanana:-

Nimegundua ni mjamzito na kibaya zaid namtoto mchanga nimefanyiwa opaleshen naomba ushauli wako mkuu
Inatakiwa angalau nafasivkati ya mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Soma Zaidi...

Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone. Soma Zaidi...

Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi Soma Zaidi...

Hadithi ya samaki wa Rangi nne
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya pyrantel pamoate
Post hii inahusu zaidi dawa ya pyrantel pamoate ni dawa ambayo usaidia kutibu minyoo ambayo kwa kawaida ukaa kwenye utumbo mdogo. Soma Zaidi...

Umuhimu wa funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 2 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Hili ni somo la pili katika mfululizo wa mafunzo ya html level ya 1 na hapa tutakwenda sasa kunanza somo letu rasmi, kwani katika somo la kwanza umejifunza jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya mafunzo. Soma Zaidi...

Faida za kula mayai
Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Huduma kwa mama mwenye kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba. Soma Zaidi...

Tofauti za uke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...

Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.
Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi. Soma Zaidi...