AINA ZA MISHIPA INAYOSAFILISHA DAMU MWILNI


image


Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine


Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

1. Mishipa inayosafilisha damu Safi,

Hii ni Aina ya mishipa inayosafilisha damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili, kwa kitaalamu huitwa (Arteries).

 

2.Mishipa inayosafilisha damu chafu kutoka kwenye mwili mpaka kwenyemapafu  kwa ajili ya kusafisha au kupata Oxgeni

Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu chafu kutoka sehemu mbalimbali k za mwili mpaka kwenye moyo Ili kupata Oxgeni kwa kitaalamu huitwa (Veins)

 

3.Mishipa midogo midogo sana iliyoenea kwenye mwili

Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa kawaida ni midogo sana ,kwa kitaalamu huitwa (Capillaries)



Sponsored Posts


  ๐Ÿ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ๐Ÿ‘‰    2 Mafunzo ya php       ๐Ÿ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ๐Ÿ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ๐Ÿ‘‰    5 Magonjwa na afya       ๐Ÿ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.
Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako. Soma Zaidi...

image Sababu za Ugonjwa wa Shinikizo la juu la Damu.
Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vileร‚ย Ugonjwa wa Moyo. Soma Zaidi...

image Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume
Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume. Soma Zaidi...

image Dalili za mtoto Mwenye UTI
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano. Soma Zaidi...

image Maambukizi kwenye mfumo wa usagaji chakula unaotokea kwenye utumbo mkubwa (diverticulitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mifuko midogo midogo, iliyobubujika ambayo inaweza kuunda kwenye utando wa mfumo wako wa usagaji chakula. Wao hupatikana mara nyingi katika sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (koloni). Hali hiyo inajulikana kama Diverticulitis. Diverticulitis inaweza kusababisha maumivu makali ya tumbo,ร‚ย Homa, kichefuchefu na mabadiliko makubwa katika tabia yako ya haja kubwa. Soma Zaidi...

image Maambukizi kwenye Tumbo na utumbo mdogo.
Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa Donda koo
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na mate kutoka kwenye maambukizi. Soma Zaidi...

image Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu. Soma Zaidi...

image Dawa ya Carvedilol na kazi yake.
Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo. Soma Zaidi...