image

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.

Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na kwenye sehemu za siri kwa vichanga na watoto wadogo.

1.Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine au kutoka kwa Mama kwenda kwa mtoto pale ambapo Mama kama haujatibiwa Ugonjwa huu kwa hiyo madhara mbalimbali yanaweza kutokea kwa vichanga na watoto wadogo kama ifuatavyo.

 

2. Mtoto kubwa na matatizo kwenye uti wa mgongo na kwenye ubongo hali ambayo Usababisha mtoto kuw na degedege na kwa wakati mwingine mtoto uzaliwa akiwa na ulemavu wa akili. Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu mara ukitokeakwa sababu unaleta madhara makubwa zaidi kwa watoto wadogo.

 

3.Pia kama Ugonjwa huu umekuwa sugu kwenye mwili wa mtoto uweza kusababisha hali ya kuenea kwenye viungo vingine vya mwili na kusababisha maambukizi huko  , kwa mfano Maambukizi kwenye ini na kwenye mapafu hali ambayo upekea  ogani hizi kuwa ha hali mbaya kwenye ufanyaji kazi kwa hiyo tunapaswa kutibu Mapema Ugonjwa huu.

 

4.Pia Ugonjwa huu Usababisha mtoto kutokua vizuri na kupungua uzito na kama Maambukizi yalikwenda mpaka kwenye macho mtoto anaweza kuwa kipofu au kubwa na matatizo ya macho. Kwa ujumla Ugonjwa huu ni hatari kwa maisha ya binadamu na  hasa kwa watoto na usipotibiwa mapema unaweza kuleta kifo.

 

5.Kwa hiyo baada ya kuona madhara ya ugonjwa huu kwa watoto tunapaswa kutoa elimu kwa jamii ili kuepuka balaa hili na Dalili zote zinapaswa kuwekwa wazi ili watu wakijua ugonjwa wataweza kuutibu na kuzuia maambukizi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1299


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Aina za saratani ( cancer)
Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida. Soma Zaidi...

Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI Soma Zaidi...

NI NINI CHAKULA CHA MINYOO?: maji, vyakula, nyama, udongo, kinyesi, mayai ya minyoo, uchafu wa mwili na mazingira
NI NINI CHAKULA CHA MINYOO? Soma Zaidi...

Njia za kupambana na saratani
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani Soma Zaidi...

ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...

Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis. Soma Zaidi...

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis. Soma Zaidi...

Sababu za Kutokwa Damu moja kwa moja bila kuganda (hemophilia).
Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa sababu haina protini za kutosha za kuganda. Ikiwa una tatizo la Damu kutokuganda, unaweza kuvuja damu kwa muda mre Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.
 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.  Soma Zaidi...

Dalili na Ishara za mawe kwenye figo
Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako. Soma Zaidi...

Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu. Soma Zaidi...

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kutapika damu, kichefuchefu, miwasho
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula. Soma Zaidi...