Athari za ugonjwa wa Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni

Athari za Ugonjwa wa inni.

1. Kutokea kwa saratani ya inni.

Ugonjwa wa inni usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa ambayo ni kuwepo kwa saratani ya ini, tunajua kuwa inni Lina kazi nyingi kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo likishindwa kufanya kazi yake vizuri matatizo mengi yanaweza kujitokeza kwenye mfumo mzima wa binadamu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye inni usababisha kuzalishwa kwa seli ambazo haziitajiwi ndizo usababisha saratani kwenye inii.kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za Homa ya inni na kupima mara kwa mara na kuangalia kama Kuna maambukizi au Kuna chanjo ya Homa ya inni unatolewa kwa watu wote yaana watoto na watu wazima, kwa hiyo watu wanapaswa kupata chanjo hiyo Ili kujiepusha na janga hili la Homa ya inni.

 

2. Kusinyaa kwa ini.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini kunakuwepo na hali ya kusinyaa kwa ini na hivyo kufanya ini kushindwa kufaulu kazi zake za kawaida ipasavyo kwenye sehemu mbalimbali za mwili na hivyo kuufanya mwili kudhoofika na pengine mgonjwa mengine yanaweza kutokea kwa sababu ya ini kusinyaa na kutofanya kazi zake vizuri kwenye mwili wa binadamu. Kwa hiyo tunapaswa  kutibu ugonjwa huu mapema ipasavyo Ili kuweza kuleta magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.

 

3. Kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu wa inni.

Ugonjwa huu wa ini usipotibiwa mapema madhara yake ni kuendelea kusambaa kwa ugonjwa huu kwa sababu watu hawataweza kujiadhari na ugonjwa huu wataendelea kuishi kawaida bila tahadhari yoyote kwa hiyo kitakachotokea ni kuendelea kusambaa kwa watu mbalimbali na hatimaye kuleta madhara makubwa zaidi na kwa wakati mwingine ugonjwa huu usipodhibitiwa mapema unaweza kuleta kifo kwa sababu ni ugonjwa wa hatari.

 

4. Kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za ugonjwa wa Homa ya ini, namna ya kuzuia, njia za maambukizi na kuhakikisha kuwa watu wanapatwa chanjo hasa watoto wadogo ambao chanjo zao zina tolewa Bure na kuhakikisha kuwa wale wote wenye Imani potofu kuhusu chanjo ya Homa ya ini wapewe Elimu ya kutosha juu ya chanjo hii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1473

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.

Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka. Maambukizi ya si

Soma Zaidi...
Dalili za ngozi kuwasha.

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.

Soma Zaidi...
Vyanzo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za ukosefu wa misuli.

Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza.

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma

Soma Zaidi...
Figo ni nini, ni yapi maradhi yake na nitajiepusha vipi na maradhi ya figo

Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.

Soma Zaidi...
Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...