Vita vya uhudi viliweza kuleta athari nyingi. Post hii itakuletea athari baadhi za vita hivyo.
1. Vifo vya waislamu.
2. Waislamu walitambuwa umuhimu wa kufuata amri ya Mtume katika hali zozote zile.
3. Uislamu ulipata nguvu zaidi baada ya kushinda vita.
4. Mali za waislamu waliokwenda vitani zilichukuliwa baada ya kupigwa
5. Mtume alijeruhiwa na kung'olewa meno
6. Kudhoofu kwa nguvu za makafiri baada ya kuuwawa viongozi wao kama Abujahal.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za Imani (EDK form 2:. Dhana ya elimu ya uislamu
Soma Zaidi...βNa wasiape wale wakarimu na wenye wasaa miongoni mwenu, kujizuia kuwasaidia jamaa zao, maskini na wale waliohama kwa ajili ya Dini ya Allah; na wasamehe na waachilie mbali (wapuuze yaliyopita).
Soma Zaidi...(i) Kutiishiwa Upepo Qur'an inatufahamisha kuwa Nabii Sulaiman alitiishiwa upepo akaweza kuutumia apendavyo kwa amri yake.
Soma Zaidi...Na katika watu, wako (wanafiki) wasemao: "Tumemwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho"; na hali ya kuwa wao si wenye kuamini.
Soma Zaidi...Njia ambazo Allah hutumia kuwasiliana na wanadamu nakuwafundisha elimu mbalimbali. (Edk form 1 dhana ya Elimu)
Soma Zaidi...Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)
Soma Zaidi...Dhana ya faradh kwa muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...