Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

BARA ARAB ZAMA ZA JAHILIYYAH, KARNE YA 6 A.D.

      7.1 Hali ya Bara Arab zama za Jahiliyyah.

-  Bara Arabu imezungukwa na bahari katika tatu, Magharibi kuna bahari ya Shamu, 

    Mashariki kuna Ghuba ya Uajemi na Oman, Kusini kuna bahari ya  Uarabuni na  

    Kaskazini ni Jangwa la Syria.

 

        -  Bara Arabu liko kati kati ya mabara matatu; Asia, Ulaya na Afrika.

                 -  Saudi Arabia ndio nchi kubwa kuliko zote Bara Arabu ambamo kuna miji mitakatifu 

                     ya Makkah na Madinah.

 

          -  Wakati anazaliwa Mtume mwaka 570 A.D (karne ya 6 A.D) dunia nzima ilikuwa 

                      katika giza totoro la ujahili.

          

        -  Maisha ya jamii yalikuwa yanaendeshwa kibabe na kibinafsi kwa kufuata matashi 

                      ya nafsi zao.

         

        -  Ubabe, ukandamizaji, unyonyaji, uporaji na dhuluma katika maisha yalionekana 

                     kama matendo ya kishujaa na kujivunia.

 

        -  Walizama katika ushirikina kiasi cha watu kuweza kutembea na miungu mifukoni 

                     mwao.

        -  Hali hii ya giza totoro ilienea pia nchi na mabara mbali mbali ulimwenguni kote.

 

        -  Dini kubwa zilizokuwepo muda huo zilikuwa ni Uyahudi na Ukristo lakini 

                     hazikuweza kumkomboa mwanaadamu kwa lolote hata kidogo.

 

        -  Hapakuwa na serikali, kila kabila lilikuwa na kiongozi na taratibu zake katika 

                    kuendeshea maisha. 

 

        -  Unyanyasaji wa wanawake kila nyanja, mauwaji ya watoto wa kike wakiwa hai 

            ilikuwa ni desturi ya kawaida katika maisha ya jamii ya Waarabu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/08/Saturday - 12:44:48 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1192

Post zifazofanana:-

Njia anazotumia Mwenyezi Mungu (s.w) kuwafundisha na kuwasiliana na wanaadamu
Njia ambazo Allah hutumia kuwasiliana na wanadamu nakuwafundisha elimu mbalimbali. (Edk form 1 dhana ya Elimu) Soma Zaidi...

je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo
Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali Soma Zaidi...

Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka
Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha Soma Zaidi...

Safari ya tatu ya Sinbad
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

Dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho Soma Zaidi...

Vyanzo vya kuharibika kwa mimba ya miezi kuanzia 0-3
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki. Soma Zaidi...

Maandalizi ya mama mjamzito kwa ajili ya kujifungulia.
Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha. Soma Zaidi...

Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao Soma Zaidi...

Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo Soma Zaidi...

Maradhi ya macho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake Soma Zaidi...

Tofauti kati ya fiqh na sheria
Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria. Soma Zaidi...

Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii . Soma Zaidi...