image

Bara arabu enzi za jahiliyyah, jiografia ya bara arabu

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

BARA ARAB ZAMA ZA JAHILIYYAH, KARNE YA 6 A.D.

      7.1 Hali ya Bara Arab zama za Jahiliyyah.

-  Bara Arabu imezungukwa na bahari katika tatu, Magharibi kuna bahari ya Shamu, 

    Mashariki kuna Ghuba ya Uajemi na Oman, Kusini kuna bahari ya  Uarabuni na  

    Kaskazini ni Jangwa la Syria.

 

        -  Bara Arabu liko kati kati ya mabara matatu; Asia, Ulaya na Afrika.

                 -  Saudi Arabia ndio nchi kubwa kuliko zote Bara Arabu ambamo kuna miji mitakatifu 

                     ya Makkah na Madinah.

 

          -  Wakati anazaliwa Mtume mwaka 570 A.D (karne ya 6 A.D) dunia nzima ilikuwa 

                      katika giza totoro la ujahili.

          

        -  Maisha ya jamii yalikuwa yanaendeshwa kibabe na kibinafsi kwa kufuata matashi 

                      ya nafsi zao.

         

        -  Ubabe, ukandamizaji, unyonyaji, uporaji na dhuluma katika maisha yalionekana 

                     kama matendo ya kishujaa na kujivunia.

 

        -  Walizama katika ushirikina kiasi cha watu kuweza kutembea na miungu mifukoni 

                     mwao.

        -  Hali hii ya giza totoro ilienea pia nchi na mabara mbali mbali ulimwenguni kote.

 

        -  Dini kubwa zilizokuwepo muda huo zilikuwa ni Uyahudi na Ukristo lakini 

                     hazikuweza kumkomboa mwanaadamu kwa lolote hata kidogo.

 

        -  Hapakuwa na serikali, kila kabila lilikuwa na kiongozi na taratibu zake katika 

                    kuendeshea maisha. 

 

        -  Unyanyasaji wa wanawake kila nyanja, mauwaji ya watoto wa kike wakiwa hai 

            ilikuwa ni desturi ya kawaida katika maisha ya jamii ya Waarabu.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1295


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Historia ya bi Khadija na familia yake na chanzo cha utajiri wake.
Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 17. Historia ya Bi Khadija na familia yake. Soma Zaidi...

Muhutasari wa sifa za wanafiki
Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:- (1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo. Soma Zaidi...

Chanzo cha Mapato katika serekali ya Kiislamu wakati wa Makhalifa
Soma Zaidi...

Nasaba ya mtume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII ISHAQA NA YAQUB
Soma Zaidi...

Hali za bara arab zama za jahiliya karne ya 6 kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad
7. Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII SHUAIB
Soma Zaidi...

HISTORIA YA MTUME DAUD(A.S).
Nabii Daudi(a. Soma Zaidi...

Zakaria(a.s) Akabidhiwa Ulezi wa Maryam
Baada ya kupigwa kura juu ya nani awe mlezi wa Maryam, Nabii Zakaria akachaguliwa kuwa mlezi wa Maryam. Soma Zaidi...

Mtume Muhammad s.a. w amelewa na Baba yake mdogo
Historia na sura ya Mtume Muhammad, sehemu ya 10. Soma Zaidi...

Bani Israil Kuabudu Ndama
Wakati Nabii Musa(a. Soma Zaidi...

Imam Muhammad Idris al-Shafii
Soma Zaidi...