Buibui hupuruka ijapokuwa hana mbawa.
Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.
Buibui ni katika wadudu wenye maajabu sana. Hivi unajuwa kama hizi wa buibui ni imara kuliko chuma?
Tuachane na hilo, kuna hili , hivibumeshawahi kukumba uzi wa buibui ukiwa unatembea halafu usijuwe uzi huo umetoka wapi, hakuna miti wala majani marefu.
Tafiti zinaonyesha kuwa mdudu Buibui anaweza kupuruka ijapokuwa hana mabawa. Buibui wanaweza kueleza angani.
Wataalamu wanaeleza kiwa Buibui hutumia Umeme wa dunia ambao upo angani ili kuweza kuruka hewani.
Ipo hivi kama unavyoona radi ni umeme ule. Sasa huku ardhini kunakuwa na chaji hasi na angani kunakuwa na chaji chanya. Kawaida umeme ni sawa na sumaku huvutana.
Sasa buibui akiwa ardhini uzi wake unakuwa na chaji hasi. Pale anapotaka kuoiruka kuangalia kama anganibkuna umeme wa kutosha. Anapojiridhisha kutoa uzi wake ule wenye chaji hasi na huvutwa angani ambapo kina chaji chanya.
Hivyo huweza kuruka angani na kuelea na kwenda anapotaka. Bado wanasayansi hawajaelewa zaidi kuhusu undani wa jambo hili. Hivyo basivtafiti zaidi zinahitajika.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 ai web app 👉5 web hosting 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Ni kwa namna gani nyoka husikia ijapokuwa hana masikio
Ingawa nyoka hawana masikio ya nje kama binadamu na wanyama wengine, bado wana uwezo wa kusikia. Hutumia mifupa ya kichwa na viungo vya ndani kutambua mitetemo kutoka ardhini na mawimbi ya sauti yenye mzunguko mdogo.
Soma Zaidi...Hasira za watoto na jinsi ya kuwasaidia kudhibiti mihemko.
Kumuona mtoto akipiga kelele, akijitupa chini, au akilia kwa hasira kali ni jambo linaloweza kuleta mkanganyiko na hata kuwakatisha tamaa wazazi. Hata hivyo, hasira hizi (tantrums) ni sehemu ya kawaida ya ukuaji wa mtoto. Makala haya yanakupa mbinu za kisaikolojia za kusaidia mtoto wako kuelewa na kudhibiti hisia zake wakati wa dhoruba za mihemko.
Soma Zaidi...More
Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.
Soma Zaidi...What is Bongoclass
What is Bongoclass and what does it do to the individuals and whole community.
Soma Zaidi...MAAJABU NA NGUZU ZA TEMBO
TEMBO Tembo ni katika wanyama wa porini na ndiye mnyama mkubwa kuliko wote.
Soma Zaidi...Umuhimu wa kupumzika na kuchukua likizo kwa afya ya akili.
Katika ulimwengu wa sasa unaokimbia kwa kasi, "kufanya kazi kupita kiasi" mara nyingi huchukuliwa kama sifa ya mafanikio. Hata hivyo, mwili na akili zetu sio mashine zisizochoka. Kupumzika na kuchukua likizo sio "upotevu wa muda," bali ni uwekezaji mkubwa zaidi unayoweza kuufanya ili kudumisha ubunifu, afya ya mwili, na utulivu wa ndani.
Soma Zaidi...