Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
1. Tatizo la kwanza ni kuwahi kufika kileleni ndani ya dakika moja, hili ni tatizo kubwa kwa sababu mwanaume hapaswi kuwahi mapema hivyo kwa sababu anapaswa kumrithisha mke wake kwa hali hiyo mwanaume ujionea aibu na kushindwa kujiamini kwa sababu ya kitendo cha kuwahi kufika kileleni mapema kwa hiyo hali hii umnyima raha mwanaume na kujihisi hatimizi wajibu wake kwa mwenziwe.
2. Tatizo jingine ni lile la kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo baada ya kufika kileleni.
Kuna wanaume wengine wana uwezo kabisa wa kufika kileleni lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika kileleni hana uwezo tena wa kurudia tendo hali hiyo imefanya wanaume wengi kujiona hawafai na kuchukua hatua za kutafuta madawa ya kuwasaidia wakati wa kufanya tendo.
3. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume mpaka matumizi ya ku boost yawepo.
Kuna wanaume wengine na wako kwenye umri mdogo tu hawana uwezo wa kusimamisha uume kabisa mpaka watumie dawa za kusimamisha uume kwa hiyo hali hiyo uwafanya wanaume kujihisi kuwa hawana dhamani kwenye jamii au kwenye ndoa zao, hali inayosababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutokuwepo hali ya kuridhishana.
4. Tatizo jingine ni kuchoka sana baada ya kufika kileleni. Kuna wanaume wengine wanachoka sana wakimaliza kufika kileleni na hawana uwezo wa kuendelea na tendo kabisa hali hii Usababisha wanaume wengi kutojiamini kwa sababu ya kukusa kumalizia tendo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuja tatizo na kuweza kufanyia kazi.
5. Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya kwa wanaume usababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutoridhishana wakati wa tendo au kwa mara nyingine wanaume uziacha familia zao kwa sababu ya kujihisi vibaya au pengine wanawake wanaongeza spidi ya kuchepuka ili kuweza kupata faraja kwa wanaume wengine kwa hiyo basi matibabu ni lazima ili kuweza kutibu tatizo hili kwa wanaume wengi walio na tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?
Soma Zaidi...Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...