picha

Chemsha bongo na bongoclass

Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi.

16.Kifo
Hapozamani kulikuwa na mzee mwenye watoto watatu. Mzee alifanya kosa kwa jini mmoja. Jini akamwambia nitakuuwa. Mtot wa kwanza wa mzee akamuombea baba yake kwa jini ampe miaka miwili ajiandae kisha aje kumuua.

Baada ya miaka miwili akaja. Mtoto wa pili wa mzee akaomba kwa jini ampe mwaka mmoja zaidi baba yake ajipange. Jini akakubali, ha mwaka ulipoisha akarudi. Mara hii moto wa mwisho akaja na mshumaa akamwambia mpe baba muda mpaka huu mshumaa unaowaka hapa utakapoisha. Jini akakubali na akaondoka akisubiri mshumaa uishe.Hatimaye jini hakurudi tena unadhani mtot wa mwisho alitumia mbinu gani?

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Views 2441

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰2 ai web app     πŸ‘‰3 web hosting     πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Hadithi katika kijiji cha burugo

Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...