Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
Dalili za kuonesha kuwa mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
1. Mbegu kuwa nyepesi.
Kwa kawaida mbegu za kiume uwa ni nzito, ikitokea mbegu za kiume zikawa laini ni ishara wazi kwamba hizo mbegu ni dhaifu na zina matatizo.
2. Mbegu hizi haziwezi kutungisha mimba.
Kwa mara nyingine wanawake wanashindwa kubeba mimba na sio shida yao ila ni kwa sababu ya mbegu za kiume kuwa laini na nyepesi.
3. Mbegu hizi pia haziwezi kuogelea
Kwa wakati mwingine mbegu hizo huwa zinashindwa kuogelea ili kutungisha mimba kwa hiyo hata kama mama yuko kwenye wakati wa kubeba mimba hawezi kwa sababu mbegu haziwezi kuogelea.
4. Na mbegu hizo kwa kawaida utoka chache wakati wa kujamiiana kwa kawaida ili mimba iweze kutungwa sifa ya kwanza ni kwamba mbegu zinapaswa kutoka angalau 3mls kwa hiyo zikiwa chini yake ni shida.
5. Hizo mbegu huwa na rangi nyeupe kwa kawaida rangi ya mbegu ni Kijifu ukiona rangi ya mbegu ni nyeupe jua kubwa hizo mbegu ni dhaifu.
6.kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kutumia matibabu ili kuweza kuwa na mbegu za kufaa na zinazoweza kutungisha mimba kwa hiyo wachumba au wazazi wakikaa kwa mwaka mmoja wakiwa wanajadiliana bila kupata mtoto wanapaswa kutumia vipimo ili kuangalia mbegu zikoje
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
Soma Zaidi...Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Soma Zaidi...Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Soma Zaidi...