Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo.
DALILI
1. Shinikizo, kujaa au maumivu ya kufinya katikati ya kifua ambayo hudumu kwa zaidi ya dakika chache
2. Maumivu yanayoenea zaidi ya kifua chako hadi kwenye bega lako, mkono, mgongo, au hata kwenye meno na taya yako
3. Kuongezeka kwa vipindi vya Maumivu ya Kifua
4. Maumivu ya muda mrefu kwenye tumbo la juu
5 Upungufu wa pumzi
6. Kutokwa na jasho kwa wingi sana
7. Kuzimia na kupoteza fahamu.
8. Kichefuchefu na kutapika.
9.kuhisi mapigo ya moyo yanaenda haraka.
10.maumivu ya kichwa.
11.maumivu ya kifua
Namna ya Kuzuia
1.Kuacha kuvuta sigara
2.Kufanya mazoezi ya mara kwa mara
3.Kupunguza unywaji wa pombe
4.Kubadilisha aina ya mlo. Kupunguza mafuta katika mlo na chumvi.
5.Kutumia mafuta ya samaki (omega-3 fatty acids)
6.Kuna utafiti unaosema kuwa uchangiaji damu hupunguza hatari ya magonjwa ya moyo hasa kwa wanaume.
Mambo ya hatari
1.Moyo kushindwa kufanya kazi (heart failure)
2.Matatizo katika mfumo wa mapigo ya moyo ambayo hatimaye hupelekea kifo
3.Shambulizi la moyo kurudia mara ya pili
4.Kifo cha ghafla.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...