Dalili za fangasi kwenye mapafu
Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.
Dalili za fangasi kwenye mapafu Ni Kama ifuatavyo;
1.kushindwa au kupumua kwa shida (difficult in breathing); Ugonjwa wowote wa mapafu huweza kupelekea kishindwa kupumua vizuri.
2.kukohoa; fangasi ya mapafu pia husababishwa kikohozi na makohozi haya hutoa makamasi (mucus) .
3.maumivu kwenye kifua (chest pain) ; pia mapafu yanapopata shida kifua huanza kupata maumivi taratibutaratibu na Kama usipowahi kupata matibabu huzidi kuwa sugu (chronic or severe).
4.kukosa oksijeni (lack of oxygen); fangasi ikitokea kwenye mapafu oxygen lazima itapungua au kushuka kiwango chake kutokana na infection zilizopo kwenye mapafu.
5.maumivu ya kichwa pamoja na kizunguzungu ; hutokana na homa Kali pamona na mwili ukikosa nguvu kwa sababu ya mapafu yatakuwa yameshashambuliwa na bacteria.
6.kukosa hamu ya kula (lack of appetite) mapafu yakipata( inflammation ) michubuko hupelekea maumivu kwenye kifua na pia mtu anaweza kukoksa kabisa hamu ya kula.
7.homa; fangasi ya mapafu lazima isababishe homa Tena Kali na mwili lazima ukose nguvu
8.kutumia Sana dawa Kama vile anibiotic kwa sababu huenda kuuwa zile bacteria zinazolinda mwili (normal Flora) pia hizi dawa zikitumiwa Sana hupelekea fangasi.
9.kutoa makohozi yenye makamasi yaliyochanganyikan na mate.
Mwisho ;fangasi ya mapafu Ni mbaya isipopata matibabu kwa haraka pia inaweza kusababisha kifua kikuu ,mapafu kujaa maji,usaha kwenye mapafu na Magonjwa mengine mengi hivyo basi Ni vyema Kama ukiona dalili za hivi uwahi hospital kupata matibabu ,piakujua Nini haswa zaidi kilichoingilia mapafu kuwa na uhakika zaidi na kupata ushauri mzuri kutoka kwa dactari.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Athari za kutotibu fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi
Soma Zaidi...Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.
Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.
Soma Zaidi...dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.
Soma Zaidi...nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
Soma Zaidi...