Dalili za fangasi kwenye mapafu
Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.
Dalili za fangasi kwenye mapafu Ni Kama ifuatavyo;
1.kushindwa au kupumua kwa shida (difficult in breathing); Ugonjwa wowote wa mapafu huweza kupelekea kishindwa kupumua vizuri.
2.kukohoa; fangasi ya mapafu pia husababishwa kikohozi na makohozi haya hutoa makamasi (mucus) .
3.maumivu kwenye kifua (chest pain) ; pia mapafu yanapopata shida kifua huanza kupata maumivi taratibutaratibu na Kama usipowahi kupata matibabu huzidi kuwa sugu (chronic or severe).
4.kukosa oksijeni (lack of oxygen); fangasi ikitokea kwenye mapafu oxygen lazima itapungua au kushuka kiwango chake kutokana na infection zilizopo kwenye mapafu.
5.maumivu ya kichwa pamoja na kizunguzungu ; hutokana na homa Kali pamona na mwili ukikosa nguvu kwa sababu ya mapafu yatakuwa yameshashambuliwa na bacteria.
6.kukosa hamu ya kula (lack of appetite) mapafu yakipata( inflammation ) michubuko hupelekea maumivu kwenye kifua na pia mtu anaweza kukoksa kabisa hamu ya kula.
7.homa; fangasi ya mapafu lazima isababishe homa Tena Kali na mwili lazima ukose nguvu
8.kutumia Sana dawa Kama vile anibiotic kwa sababu huenda kuuwa zile bacteria zinazolinda mwili (normal Flora) pia hizi dawa zikitumiwa Sana hupelekea fangasi.
9.kutoa makohozi yenye makamasi yaliyochanganyikan na mate.
Mwisho ;fangasi ya mapafu Ni mbaya isipopata matibabu kwa haraka pia inaweza kusababisha kifua kikuu ,mapafu kujaa maji,usaha kwenye mapafu na Magonjwa mengine mengi hivyo basi Ni vyema Kama ukiona dalili za hivi uwahi hospital kupata matibabu ,piakujua Nini haswa zaidi kilichoingilia mapafu kuwa na uhakika zaidi na kupata ushauri mzuri kutoka kwa dactari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.
Soma Zaidi...Masharti ya vidonda vya tumbo
Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo
Soma Zaidi...Dalili za homa ya ini
Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
Soma Zaidi...Dalili za vidonda vya tumbo, matibabu na dawa zake, sababu za kutokea kwake
Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Dalili za jipu la jino.
Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti.
Soma Zaidi...