image

Dalili za fangasi kwenye mapafu

Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.

   Dalili za fangasi kwenye mapafu Ni Kama ifuatavyo;

1.kushindwa au kupumua kwa shida (difficult in breathing); Ugonjwa wowote wa mapafu huweza kupelekea kishindwa kupumua vizuri.

2.kukohoa; fangasi ya mapafu pia husababishwa kikohozi na makohozi haya hutoa makamasi (mucus) .

3.maumivu kwenye kifua (chest pain) ; pia mapafu yanapopata shida kifua huanza kupata maumivi taratibutaratibu na Kama usipowahi kupata matibabu huzidi kuwa sugu (chronic or severe).

4.kukosa oksijeni (lack of oxygen); fangasi ikitokea kwenye mapafu oxygen lazima itapungua au kushuka kiwango chake kutokana na infection zilizopo kwenye mapafu.

5.maumivu ya kichwa pamoja na kizunguzungu ; hutokana na homa Kali pamona na mwili ukikosa nguvu kwa sababu ya mapafu yatakuwa yameshashambuliwa na bacteria.

6.kukosa hamu ya kula (lack of appetite) mapafu yakipata( inflammation ) michubuko hupelekea maumivu kwenye kifua na pia mtu anaweza kukoksa kabisa hamu ya kula.

7.homa; fangasi ya mapafu lazima isababishe homa Tena Kali na mwili lazima ukose nguvu

8.kutumia Sana dawa Kama vile anibiotic kwa sababu huenda kuuwa zile bacteria zinazolinda mwili (normal Flora) pia hizi dawa zikitumiwa Sana hupelekea fangasi.

9.kutoa makohozi yenye makamasi yaliyochanganyikan na mate.

 

  Mwisho ;fangasi ya mapafu Ni mbaya isipopata matibabu kwa haraka pia inaweza kusababisha kifua kikuu ,mapafu kujaa maji,usaha kwenye mapafu na Magonjwa mengine mengi hivyo basi Ni vyema Kama ukiona dalili za hivi uwahi hospital kupata matibabu ,piakujua Nini haswa zaidi kilichoingilia mapafu kuwa na uhakika zaidi na kupata ushauri mzuri kutoka kwa dactari.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2639


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.
Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Senene
Soma Zaidi...

Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.
Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...

Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani
Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV Soma Zaidi...

Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona. Soma Zaidi...

Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo. Soma Zaidi...

Vyanzo vya sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy Soma Zaidi...

Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo
Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa. Soma Zaidi...

Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa. Soma Zaidi...

Dalili za mtoto Mwenye UTI
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa uchovu sugu.
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo. Soma Zaidi...