picha

Dalili za Homa ya uti wa mgongo (meningitis)

Posti hii inahusu zaidi dalili za Homa ya uti wa mgongo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye maambukizi kwenye uti wa mgongo.

Dalili za ugonjwa wa Homa ya uti wa mgongo.

1.Maumivu ya kichwa.

  Tunajua kuwa uti wa mgongo umeenda mpaka kwenye kichwa na pengine maambukizi ujitokeza kwenye sehemu ambayo ufunika ubongo kwa hiyo maumivu ya kichwa utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye uti wa mgongo na kwenye sehemu ya kichwa inayofunika ubongo, kwa Sababu bakteria na virusi amba usababisha ugonjwa huu ushambulia sana uti wa mgongo na sehemu ya kichwa  hiyo usababisha kichwa kuuma kwa sababu ya maambukizi.

 

2.Mgonjwa mwenye Homa ya uti wa mgongo uhisi kizunguzungu, hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kichwa ambapo bakteria na virusi ushambulia kwenye sehemu za mfumo wa ubongo na kusababisha kizunguzungu kwa mgonjwa.

 

3. Hamu ya kula upungua

Mtu mwenye matatizo ya Homa ya uti wa mgongo usababisha hamu ya kula kupungua kwa sababu ya maambukizi ambayo utokea kwa mgonjwa na kusababisha hamu ya kula kupungua na kusababisha mgonjwa hashindwe  kula chakula

 

4. Degedege hasa kwa watoto

Homa ya uti wa mgongo usababisha degedege hasa kwa watoto utokea sana ukiulinganisha na watu wazima, kwa sababu ya maambukizi kwenye ubongo mawasiliano ya ubongo na misuli upungua mtu mzima au mtoto ushikwa na degedege na kusababisha madhara makubwa kwa mgonjwa na watu waliomzunguka.

 

5. Homa upanda.

Ugonjwa wa Homa ya uti wa mgongo usababisha Homa kupanda kuliko kawaida hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye mwili, Homa kupanda ni kwa sababu system za kwenye mwili zinakuwa sio sawa na hivyo kusababisha Homa kupanda.

 

6. Kukakama kwa shingo.

Hali hii utokea pale ambapo maambukizi yameenea na kusababisha shingo kukakamaa na kuwa fupi kuliko kawaida, hii pengine inawezekana kuwa sababu ya kukaza kwa misuli kwa sababu ya maambukizi yaliyosambaa mpaka kwenye shingo na kusababisha shingo kukukamaa au pengine ni kwa sababu ya degedege ambayo usababisha shingo kukukamaa.

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2412

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 web hosting     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa gonoria (gonorrhea)

UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.

Soma Zaidi...
Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.

Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.

Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.

Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kushiriki ngono na mtu aliye na VVU na UKIMWI

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa macho

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...