Dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
1. Maumivu makali ya kichwa utokea ambayo ni tofauti na ya jeraha la kawaida, maumivu hayo uweza kudumu zaidi ya maasaa ishilini na manne ingawa bado mgonjwa anakuwa abatumia madawa ya kupunguza maumivu, mabadiliko katika kuona pengine mgonjwa uona kwa shida kubwa na hata kushindwa kufungua macho, na pengine mgonjwa anashindwa kabisa kusimama hali hii usababishwa na kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa nevu unaoelekea kwenye ubongo.
2.Kubadilika kwa mapigo ya moyo.
Kwa sababu ya neva za kwenye ubongo zinakuwa hazifanyi kazi vizuri Kuna mabadiliko yanaweza kutokea kwa mgonjwa ambayo yanahusiana na mapigo ya moyo, pengine mapigo ya moyo uenda mbio sana, pengine uenda taratibu sana kwa hiyo mapigo hayo yanakuwa hayopo kwenye mfumo mmoja wa kwenye mbio au taratibu Bali uchanganya mgonjwa wa namna hii anapaswa kumpelekwa hospitalin mara Moja kwa huduma zaidi.
3.Vile vile na upumuaji wa mgonjwa ubadilika.
Upumuaji ubadilika kwa Sababu mgonjwa upumua haraka haraka na kwa mda fulani mgonjwa upumua pole pole au pumzi huwa fupi na pengine huwa ndefu ,kama una mgonjwa wako na amepata hali ya namna hii unapaswa kumpeleka hospitalini mara Moja Ili kuweza kupatiwa matibabu zaidi, hali hii usababishwa na mshutuko kwenye ubongo ambao ufanya na mifumo mingine mwilini kubadilika kwa hiyo mgonjwa huyu asibakizwae nyumbani.
4.Damu au maji maji yasiyo na rangi kutoka masikioni au puani.
Hali hii utokea hasa kwa wagonjwa wenye majeraha makali kwenye ubongo kwa Sababu Kuna sehemu ambazo zinakuwa zimearibika kwa ndani ambazo upelekea kutoa maji ambayo utokeazea kupitia kwenye masikio au pengine kwenye pua, kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hii tutambue kuwa jeraha kwenye ubongo ni kali na mgonjwa anapaswa kupata matibabu ya haraka.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 web hosting π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Dua za Mitume na Manabii π4 kitabu cha Simulizi π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.
Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.
Soma Zaidi...Dalili za ukomo wa hedhi (Menopause) na jinsi ya kuishi nazo.
Ukomo wa hedhi (Menopause) ni hatua ya kibaolojia ambapo mzunguko wa hedhi wa mwanamke husimama kabisa, ikiashiria mwisho wa uwezo wa uzazi. Hali hii huthibitishwa baada ya mwanamke kupita miezi 12 mfululizo bila kupata hedhi. Ni mchakato wa asili unaosababishwa na kupungua kwa homoni za uzazi (estrogen na progesterone). Ingawa inaweza kuleta changamoto za kimwili na kihisia, mbinu sahihi za kimaisha na matibabu ya ushauri yanaweza kuboresha hali ya maisha kwa kiasi kikubwa.
Soma Zaidi...Dalili za Kisukari Zinazoonekana Mapema
βUgonjwa wa kisukari (Diabetes) ni moja ya magonjwa hatari ya kimfumo yanayokua kwa kasi duniani, lakini habari njema ni kwamba unaweza kudhibitiwa ikiwa utagundulika mapema. Makala haya yanajadili ishara na dalili za awali kabisa ambazo mwili hutoa wakati viwango vya sukari kwenye damu vinapoanza kupanda. Pia, yanabainisha tofauti ya dalili hizi na mabadiliko ya kawaida ya mwili, na kuwasilisha ukweli wa kisayansi dhidi ya dhana potofu zilizozoeleka mitaani.
Soma Zaidi...Dawa za kupunguza maumivu ya tumbo la hedhi: Je, zina madhara?
βMaumivu ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea) ni changamoto inayowakumba wanawake wengi kila mwezi. Ingawa dawa za kupunguza maumivu (painkillers) ni njia rahisi na ya haraka ya kupata nafuu, ni muhimu kuelewa jinsi dawa hizi zinavyofanya kazi na madhara yake yanayoweza kutokea pindi zinapotumiwa vibaya au kwa muda mrefu. Makala hii inachunguza kwa kina dawa hizo, usalama wake, na mbinu mbadala.
Soma Zaidi...