Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
1. Maumivu makali ya kichwa utokea ambayo ni tofauti na ya jeraha la kawaida, maumivu hayo uweza kudumu zaidi ya maasaa ishilini na manne ingawa bado mgonjwa anakuwa abatumia madawa ya kupunguza maumivu, mabadiliko katika kuona pengine mgonjwa uona kwa shida kubwa na hata kushindwa kufungua macho, na pengine mgonjwa anashindwa kabisa kusimama hali hii usababishwa na kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa nevu unaoelekea kwenye ubongo.
2.Kubadilika kwa mapigo ya moyo.
Kwa sababu ya neva za kwenye ubongo zinakuwa hazifanyi kazi vizuri Kuna mabadiliko yanaweza kutokea kwa mgonjwa ambayo yanahusiana na mapigo ya moyo, pengine mapigo ya moyo uenda mbio sana, pengine uenda taratibu sana kwa hiyo mapigo hayo yanakuwa hayopo kwenye mfumo mmoja wa kwenye mbio au taratibu Bali uchanganya mgonjwa wa namna hii anapaswa kumpelekwa hospitalin mara Moja kwa huduma zaidi.
3.Vile vile na upumuaji wa mgonjwa ubadilika.
Upumuaji ubadilika kwa Sababu mgonjwa upumua haraka haraka na kwa mda fulani mgonjwa upumua pole pole au pumzi huwa fupi na pengine huwa ndefu ,kama una mgonjwa wako na amepata hali ya namna hii unapaswa kumpeleka hospitalini mara Moja Ili kuweza kupatiwa matibabu zaidi, hali hii usababishwa na mshutuko kwenye ubongo ambao ufanya na mifumo mingine mwilini kubadilika kwa hiyo mgonjwa huyu asibakizwae nyumbani.
4.Damu au maji maji yasiyo na rangi kutoka masikioni au puani.
Hali hii utokea hasa kwa wagonjwa wenye majeraha makali kwenye ubongo kwa Sababu Kuna sehemu ambazo zinakuwa zimearibika kwa ndani ambazo upelekea kutoa maji ambayo utokeazea kupitia kwenye masikio au pengine kwenye pua, kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hii tutambue kuwa jeraha kwenye ubongo ni kali na mgonjwa anapaswa kupata matibabu ya haraka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUgonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya
Soma Zaidi...UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inawe
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze
Soma Zaidi...postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Je unahitaji kujuwa kama umepata ujauzito baada ya kufanya tendo la ndoa? hakika sio rahisi ila kama utakuwa makini utaweza.
Soma Zaidi...Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...