picha

Dalili za jeraha kali kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo

1. Maumivu makali ya kichwa utokea ambayo ni tofauti na ya jeraha la kawaida, maumivu hayo uweza kudumu zaidi ya maasaa ishilini na manne ingawa bado mgonjwa anakuwa abatumia madawa ya kupunguza maumivu, mabadiliko katika kuona pengine mgonjwa uona kwa shida kubwa na hata kushindwa kufungua macho, na pengine mgonjwa anashindwa kabisa kusimama hali hii usababishwa na kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa nevu unaoelekea kwenye ubongo.

 

2.Kubadilika kwa mapigo ya moyo.

 Kwa sababu ya neva za kwenye ubongo zinakuwa hazifanyi kazi vizuri Kuna mabadiliko yanaweza kutokea kwa mgonjwa ambayo yanahusiana na mapigo ya moyo, pengine mapigo ya moyo uenda mbio sana, pengine uenda taratibu sana kwa hiyo mapigo hayo yanakuwa hayopo kwenye mfumo mmoja wa kwenye mbio au taratibu Bali uchanganya mgonjwa wa namna hii anapaswa kumpelekwa hospitalin mara Moja kwa huduma zaidi.

 

3.Vile vile na upumuaji wa mgonjwa ubadilika.

Upumuaji ubadilika kwa Sababu mgonjwa upumua haraka haraka na  kwa mda fulani mgonjwa upumua pole pole  au pumzi huwa fupi na pengine huwa ndefu ,kama una mgonjwa wako na amepata hali ya namna hii unapaswa kumpeleka hospitalini mara Moja Ili kuweza kupatiwa matibabu zaidi, hali hii usababishwa na mshutuko kwenye ubongo ambao ufanya na mifumo mingine mwilini kubadilika kwa hiyo mgonjwa huyu asibakizwae nyumbani.

 

4.Damu au maji maji yasiyo na rangi kutoka masikioni au puani.

Hali hii utokea hasa kwa wagonjwa wenye majeraha makali kwenye ubongo kwa Sababu Kuna sehemu ambazo zinakuwa zimearibika kwa ndani ambazo upelekea kutoa maji ambayo utokeazea kupitia kwenye masikio au pengine kwenye pua, kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hii tutambue kuwa jeraha kwenye ubongo ni kali na mgonjwa anapaswa kupata matibabu ya haraka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/25/Saturday - 08:02:08 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2158

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Dalili za maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.

Soma Zaidi...
Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.

Soma Zaidi...
Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kipindupindu.

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi ukeni

Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.

Soma Zaidi...
Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun

Soma Zaidi...
Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.

Soma Zaidi...
Watu walio hatarini kupata UTI

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...