Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,

Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo.

1. Kuchanganyikiwa au kupoteza fahamu

Ni dalili ambayo ujitokeza hasa kama mtu amepatwa na jeraha kwenye ubongo hali hii utofautiana na jeraha kali kwa sababu kupoteza fahamu na kuchanganyikiwa uwa ndani ya masaa ishilini na manne, na baadae mgonjwa uwa kawaida Ila uhisi maumivu katika kichwa kwa hiyo huduma anayopaswa kupewa na dawa ya maumivu na kuendelea kupumzika na hali huwa kama kawaida .

 

2.Kutokumbuka kilichotokea.

Mgonjwa wa jeraha la kawaida hakumbuki kilichotokea kwa sababu pengine anakuwa amepoteza kabisa fahamu kwa hiyo mara nyingi ukumbuka lile tukio la mwanzoni ambalo utokea kwa hiyo mgonjwa akizinduka mara nyingi uuliza Niko wapi na kwa sababu gani kwa hiyo anapaswa kupewa majibu na kuulizia jinsi anavyojisikia na kwa wakati huu anapaswa kupewa mda wa kupumzika na hapaswi kuulizwa maswali mengi kwa sababu anaweza kugongwa na kichwa.

 

3.Kichwa kuuma kizunguzungu na uchovu.

Kwa mgonjwa aliyepata jeraha la kawaida uhisi maumivu ya kichwa, kizunguzungu na uchovu hii ni kwa sababu ya mshutuko ambao utokea kwenye ubongo kwa hiyo mgonjwa anapaswa kupewa dawa ya maumivu Ili kupunguza maumivu ya kichwa na pia hapaswi kutembea tembea kwa sababu ya kizunguzungu na Akitaka  kwenda sehemu inabidi aende na mtu Ili kuepuka kudondoka na kusababisha matatizo mengine na mgonjwa Upata uchovu kwa sababu pengine wakati wa ajali Kuna sehemu alijikwaruza na hali hii utulia ndani ya masaa ishilini na manne.

 

4. Kutoona vizuri au kuona maruweruwe.

Mgonjwa wa majeraha ya kawaida mara nyingi huwa haoni vizuri na kwa wakati mwingine uona maruweruwe kwa sababu ya mshutuko kwenye ubongo ambao upelekea nevu za kwenye macho na kutenguka kidogo na baadae hali hii utulia, kwa hiyo mgonjwa wa namna hii anapaswa kutumia hata kusinzia kabisa na hatimaye hali huwa kawaida.

 

5. Kichefuchefu na kutapika.

Mgonjwa mwenye majeraha ya kawaida uhisi kichefuchefu na kutapika kwa mda hali hii utokea kwa sababu ya mshutuko ambao uingiliana na mfumo wa umengenywaji wa chakula na kwa hiyo hali hii udumu ndani ya masaa ishilini na manne. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kufanyiwa huduma zote za mtu Mwenye Kichefuchefu kama vile kula vyakula vigumu vigumu mfano mkate na chapati na pia kula kidogo kidogo kwa mda mrefu na pia kukaa wima.

 

6.kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa wagonjwa wenye majeraha ya kawaida kwenye ubongo dalili zao pengine zinaweza kuogopesha wahudumu wa mgonjwa lakini kwa kawaida udumu ndani ya masaa ishilini na manne na mda unaniofuata mgonjwa huwa kawaida na kuendelea na matibabu hasa kupunguza maumivu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/25/Saturday - 04:54:15 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1555

Post zifazofanana:-

Inakuwaje unafanya ngono na aliyeathirika na usipate UKIMWI?
Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing Soma Zaidi...

Huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja.
Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion. Soma Zaidi...

Faida za nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi Soma Zaidi...

Lazima matiti kuuma ka mimba changa?
Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...

Dalili za moyo kutanuka
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka. Soma Zaidi...

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu Soma Zaidi...

Kuandaliwa kwa Muhammad wakati na baada ya kupewa utume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye magoti
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...

Sababu za kushuka kwa surat al qariah
Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu Soma Zaidi...

Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini
Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya. Soma Zaidi...