Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
Dalili ambazo ujitokeza kama kuna uharibifu kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu kuona kitu ni lazima kupitia kwenye retina na baadae kwenda kwenye mfumo wa kupeleka taarifa na baadae kwenye ubongo kwa hiyo kuna wakati mfumo huu uharibika kwa hiyo mtu anaweza kuwa na dalili zifuatazo.
2. Maumivu ya macho.
Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuhisi kubwa na maumivu ya kawaida ya macho inawezekana kuwa kwa ndani au kwa nje na maumivu hayo udumu kwa mda na mgonjwa akipatwa na hali kama hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema.
3. Mshutuko wa mwanga hasa pale mwanga ukiwa mkali.
Kuna wakati mwingine Mgonjwa anashutuka akiona mwanga ni mkali na pengine utaona anafunika macho kabisa pale mwanga ukija kwenye macho kwa hiyo Mgonjwa akiona dalili hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kutibu tatizo hili mapema.
4. Pengine Mgonjwa anaweza kuona rangi rangi.
Hali hii utokea kwa mgonjwa pale tatizo likiwa kubwa anaanza kuona rangi rangi kwa sababu ya mfumo kushindwa kusafilisha ujumbe kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu.
5. Ikiwa tatizo halikutibiwa kwa mda mgonjwa anaweza kushindwa kuona na hivyo akawa kipofu kwa hiyo tunapaswa kuwahi huduma hizi mapema ili tuweze kuepuka kuendelea kuleta matatizo mbalimbali na yaliyo makubwa.
6.Na pia mgonjwa akiwa kwenye tatizo hili la kushindwa kwa mishipa ya kupeleka taarifa kwenye ubongo anaweza pia kuhisi kichefuchefu na kutapika kwa hiyo hali hii ikitokea hasiogope na kuanza kujadili kuwa macho yanaingilia aje na kutapika na kichefuchefu ni kawaida na tunapaswa kujua hilo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
Soma Zaidi...Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.
Soma Zaidi...HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
Soma Zaidi...