picha

Dalili za kuziba kwa mirija ya uzazi

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.

Dalili za kuziba kwa mishipa ya uzazi.

1. Dalili ya kwanza ni mabadiliko ya mkojo 

Kwa sababu ya kuwepo kwa ku uziba kwa mrija wa uzazi na mkojo rangi yake ubadilika kwa sababu mara nyingine mkojo huwa na rangi ya njano na kwa mara nyingine mkojo uwa na uchafu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mrija ya uzazi.

 

2. Kutokwa kwa damu isiyo ya kawaida.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kuziba kwenye mirija ya uzazi kuna tatizo la kuwepo kwa damu ambayo utoka kupitia kwenye uke kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi.

 

3. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi vile vile kunakuwepo pia na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo hali usababisha wakina mama kutofurahia tendo la ndoa kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu maambukizi ili kuepuka tatizo hili.

 

4. Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi usababisha kichefuchefu na pia wakina mama wengi utapika .

 

5. Tumbo kuvimba.

Kwa sababu Maambukizi kutoka kwenye mirija ya uzazi yanaweza pia kufika kwenye  mmeng'enyo wa chakula na vile kusababisha tumbo kuvimba.

 

6. Maumivu ya kiuno.

Kwa sababu via vya uzazi mara nyingi vipo kwenye sehemu ya kiuno kwa hiyo kwenye kiuno Maumivu pia uwepo.

 

7. Kuwepo kwa tatizo la kupungua au kuongezeka uzito kwa ghafla,

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi usababisha sana uzito kuongezeka au kupungua kwa ghafla kwa mtu mwenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi.

 

8. Kuhi mwili kuchoka .

Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya maumivu ya mara kwa mara pia usababisha na mwili kuchoka na kuleta hali ya mama kutojisikia vizuri.

 

9. Kuwepo kwa maumivu ya nyonga.

Kwa sababu nyonga ni sehemu mojawapo ambayo huwa ni sehemu mojawapo ambapo via vya uzazi uwepo kwa hiyo na pia maumivu utokea kwenye sehemu ya nyonga.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 6473

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 ai web app     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Dalili za PID

Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana

Soma Zaidi...
Njia za kutibu mbegu dhaifu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.

Soma Zaidi...