Dalili za kuziba kwa mirija ya uzazi

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.

Dalili za kuziba kwa mishipa ya uzazi.

1. Dalili ya kwanza ni mabadiliko ya mkojo 

Kwa sababu ya kuwepo kwa ku uziba kwa mrija wa uzazi na mkojo rangi yake ubadilika kwa sababu mara nyingine mkojo huwa na rangi ya njano na kwa mara nyingine mkojo uwa na uchafu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mrija ya uzazi.

 

2. Kutokwa kwa damu isiyo ya kawaida.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kuziba kwenye mirija ya uzazi kuna tatizo la kuwepo kwa damu ambayo utoka kupitia kwenye uke kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi.

 

3. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi vile vile kunakuwepo pia na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo hali usababisha wakina mama kutofurahia tendo la ndoa kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu maambukizi ili kuepuka tatizo hili.

 

4. Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi usababisha kichefuchefu na pia wakina mama wengi utapika .

 

5. Tumbo kuvimba.

Kwa sababu Maambukizi kutoka kwenye mirija ya uzazi yanaweza pia kufika kwenye  mmeng'enyo wa chakula na vile kusababisha tumbo kuvimba.

 

6. Maumivu ya kiuno.

Kwa sababu via vya uzazi mara nyingi vipo kwenye sehemu ya kiuno kwa hiyo kwenye kiuno Maumivu pia uwepo.

 

7. Kuwepo kwa tatizo la kupungua au kuongezeka uzito kwa ghafla,

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi usababisha sana uzito kuongezeka au kupungua kwa ghafla kwa mtu mwenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi.

 

8. Kuhi mwili kuchoka .

Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya maumivu ya mara kwa mara pia usababisha na mwili kuchoka na kuleta hali ya mama kutojisikia vizuri.

 

9. Kuwepo kwa maumivu ya nyonga.

Kwa sababu nyonga ni sehemu mojawapo ambayo huwa ni sehemu mojawapo ambapo via vya uzazi uwepo kwa hiyo na pia maumivu utokea kwenye sehemu ya nyonga.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5232

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?

Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.

Soma Zaidi...
Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
Madhara ya kiafya ya kupiga punyeto

Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.

Soma Zaidi...
maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimba

Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...
Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.

Soma Zaidi...
Fahamu sifa za Ute wa siku za kupata mimba yaani ovulation day

Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.

Soma Zaidi...
Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo

Soma Zaidi...