Dalili za maambukizi kwenye magoti

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini

Dalili za maambukizi kwenye magoti.

1.  Kuwepo kwa maumivu wakati wa asubuhi au wakati wa baridi.

Kwa kawaida wakati wa asubuhi na wakati wa baridi kunakuwepo na hali ambayo usababisha mwili kusinyaa kwa hiyo kutokana na kusinyaa kwa mwili hivyo hivyo usababisha misuli ya magoti kusinyaa na kusababisha maumivu pale penye maambukizi hasa mtu akitaka kusimama au kutembea kwa hiyo watu wenye maambukizi upata shida sana.

 

2. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kubeba mizigo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti endapo mtu atabeba mzigo mzito maumivu yote yataishia sehemu Ile iliyoadhirika kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi na hivyo sehemu hiyo inakuwa imeathirka sana.

 

3. Kuwepo kwa maumivu wakati wa kutembea.

Kwa kawaida Mtu anapotembea kutoka hatua Moja kwenda nyingine usababisha na viungo vyote kubadilisha mwelekeo na kuelekea kwa mtu ambapo anaelekea kwa kufanya hivyo usababisha sehemu Ile yenye maambukizi kuumia kwa sababu ya msuguano kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.

 

4. Maumivu wakati wa kuchuchumaa 

Kwa kawaida Mtu anapotaka kuchuchumaa ni lazima kuhusisha na magoti kwa hiyo akitaka kuchuchumaa usababisha maumivu makali kwenye magoti na vile vile kushindwa kuchuchumaa na wengine wanatumia choo  za kusimama kwa sababu ya kushindwa kuchuchumaa kwa sababu ya maumivu kwenye sehemu ya maambukizi.

 

5. Maumivu wakati wa kufanya kazi yoyote ile.

Hii nayo ni dalili Mojawapo inayowapata watu wenye maambukizi kwenye magoti akija kufanya kazi ni lazima kuhisi maumivu kwenye sehemu ya maambukizi na pengine watu wengine ushindwa kufanya hata kazi ndogo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi.

 

6. Pia maumivu wakati wa kunyanyua vitu vizito.

Kuna wakati mwingine mtu akija kunyanyua vitu vizito anahisi maumivu makali kwenye sehemu ya maambukizi.

 

7. Maumivu wakati wa kusimama.

Na pia kama mtu amekaa chini unalalamika sana maumivu akija kuamuka kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye magoti.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/07/Thursday - 04:36:08 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1100


Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamu Dalili za Ugonjwa wa Bawasiri
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Bawasiri. Bawasiri ni mishipa iliyovimba kwenye njia yako ya haja kubwa na sehemu ya chini ya puru. Bawasiri inaweza kutokana na kukaza mwendo wakati wa kwenda haja ndogo au kutokana na shinikizo la kuongeze Soma Zaidi...

Je inakuaje kama umempiga denda mtu mweny ukimwi ambaye anatumia daw za ARVs na una michubuko midogo mdomon ya kuungua na chai
Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar Soma Zaidi...

Dalili za fangasi Mdomoni.
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa. Soma Zaidi...

Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)
Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jera Soma Zaidi...

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume. Soma Zaidi...

Je vidonda vya tumbo husababisha maumivu mpka upande mmoja wa mgongoni !?
Ni ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula. Soma Zaidi...

Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.
Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo, Soma Zaidi...

Kupambana na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari Soma Zaidi...

Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Soma Zaidi...

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona Soma Zaidi...

Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.
Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe Soma Zaidi...