Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.
Dalili za maambukizi kwenye milija
1. Harufu mbaya kutoka ukeni, hii ni harufu ambayo utokea kwenye milija na uonekana ukeni hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ndani ya milija,
2 maumivu makali wakati wa kujamiiana, hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ndani ya milija ambapo uharibi sehemu ya ndani ya uzazi na kusababisha maumivu wakati wa kujamiiana.
3. Tumbo la chini kuuma au maumivu makali chini ya tumbo, utokea kwa sababu ya uharibifu ndani ya milija
4, Homa, kichefuchefu na kitapika kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi
5, maumivu makali hasa mgonjwa akiguswa sehemu ya milija kwa kupapasa wakati wa vipimo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 web hosting 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Fahamu ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
Soma Zaidi...Sababu za maumivu ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo.
Soma Zaidi...Dalili za uvimbe kwenye kinywa
Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza ku
Soma Zaidi...Dalilili za Ngozi kuwa kavu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano
post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.
Soma Zaidi...