Dalili za maambukizi kwenye ovari
Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema.
Dalili za maambukizi kwenye ovari
1. Maumivu makali chini yatumbo, hutokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria ambao ushambulia sehemu ya ndani ya ovari.
2. Maumivu makali kwenye pelvis, kutokana n kuwepo kwa bakteria ndani ya ovari bakteria hawa ueneza sumu ambayo usababisha maumivu makali kwenye pelvis
3. Kutokwa damu ukeni, hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa majeraha ndani ya ovari ambayo huaribu sehemu mbalimbali za uzazi na Damu uonekana ukeni
4. Damu nzito uonekana wakati wa hedhi na yenye mabonge mabonge na pia utoka kwa mda mrefu isiyokuwa ya kawaida
5. Maumivu ya kichwa hutokea lakini sio kwa wote na pengine kwa sababu ya maambukizi Homa upanda
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Masharti ya vidonda vya tumbo
Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo
Soma Zaidi...Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.
Soma Zaidi...Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku
Soma Zaidi...Sababu za Kutokwa Damu moja kwa moja bila kuganda (hemophilia).
Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa sababu haina protini za kutosha za kuganda. Ikiwa una tatizo la Damu kutokuganda, unaweza kuvuja damu kwa muda mre
Soma Zaidi...