Dalili za macho makavu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo.
1.Tukumbuke kuwa kwenye jicho kuna maji maji ambayo ufanya sehemu ya jicho kufanya kazi yake vizuri na kwa wakati ila kuna kipindi maji maji hayo yanapungua kwa sababu ya sehemu ambayo utengeneza maji maji hayo ushindwa kufanya kazi kwa hiyo tunaweza kuona dalili za jicho kavu kama ifuatavyo.
2. Macho yanakuwa mekundu.
Kwa sababu ya kutokuwepo kwa maji maji kwenye jicho sehemu yake utokea wekundu wekundu kwenye jicho ambao unaweza kuonekana moja kwa moja kutoka kwa mgonjwa.
3. Kiasi cha kuona kwa mgonjwa upungua.
Kuna wakati mwingine kiasi cha kupona kunapunguza inawezekana kuona kwa karibu au kuona kwa mbali kwa hiyo Mgonjwa uangaika sana wakati anapotaka kuona kitu.
4. Macho huwa na Matongo tongo.
Kwa kawaida macho ya mtu mwenye macho makavu huwa na Matongo tongo yasiyo ya kawaida na ya kuzudi kiasi hasa wakati wa asubuhi kwa hiyo tuwashauri waende hospitali ili kupata matibabu mapema na kuepuka madhara makubwa zaidi ambayo ya aweza kutokea.
5.Tatuzi lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa mgonjwa kwa hiyo ikitokea macho ya mgonjwa huwa makavu na Dalili za hapa zote zimejitokeza mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu kwa sababu Ugonjwa huu unatibika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 web hosting 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Soma Zaidi...Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.
Soma Zaidi...AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm
AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa wa kaswende
Kaswende ni maambukizo ya bakteria ambayo kawaida huenezwa kwa kujamiiana. Ugonjwa huu huanza kama kidonda kisicho na maumivu kawaida kwenye sehemu zako za siri, puru au mdomo. Kaswende huenea kutoka kwa mtu hadi mtu kupitia ngozi. Kaswende ya Mapema
Soma Zaidi...Dalili za fangasi ukeni
Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.
Soma Zaidi...Sababu za miguu kufa ganzi.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
Soma Zaidi...