picha

Dalili za macho makavu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo.

1.Tukumbuke kuwa kwenye jicho kuna maji maji ambayo ufanya sehemu ya jicho kufanya kazi yake vizuri na kwa wakati ila kuna kipindi maji maji hayo yanapungua kwa sababu ya sehemu ambayo utengeneza maji maji hayo ushindwa kufanya kazi kwa hiyo tunaweza kuona dalili za jicho kavu kama ifuatavyo.

 

2. Macho yanakuwa mekundu.

Kwa sababu ya kutokuwepo kwa maji maji kwenye jicho sehemu yake utokea wekundu wekundu kwenye jicho ambao unaweza kuonekana moja kwa moja kutoka kwa mgonjwa. 

 

3. Kiasi cha kuona kwa mgonjwa upungua.

Kuna wakati mwingine kiasi cha kupona kunapunguza inawezekana kuona kwa karibu au kuona kwa mbali kwa hiyo Mgonjwa uangaika sana wakati anapotaka kuona kitu.

 

4. Macho huwa na Matongo tongo.

Kwa kawaida macho ya mtu mwenye macho makavu huwa na Matongo tongo yasiyo ya kawaida na ya kuzudi kiasi hasa wakati wa asubuhi kwa hiyo tuwashauri waende hospitali ili kupata matibabu mapema na kuepuka madhara makubwa zaidi ambayo ya aweza kutokea.

 

5.Tatuzi lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa mgonjwa kwa hiyo ikitokea macho ya mgonjwa huwa makavu na Dalili za hapa zote zimejitokeza mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu kwa sababu Ugonjwa huu unatibika.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/03/07/Monday - 08:34:30 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2199

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 ai web app    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

UGNJWA WA UTI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Soma Zaidi...
Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi

Soma Zaidi...
Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Soma Zaidi...
Dalili za gonorrhea

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea

Soma Zaidi...
Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.

Soma Zaidi...
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.

Soma Zaidi...
Maumivu makali ya tumbo la chango wakati wa hedhi na sababu zake

Kwa nini unapata maumivu makali wakati wa kuingia hedhi, je unajuwa sababu za maumivu makali ya tumbo la chago.

Soma Zaidi...