Dalili za madhara ya figo
Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.
Dalili
1.Kukojoa Mara kwa Mara asa wakati wa usiku ambapo Figo huchuja mkojo na ikipata madhara hushindwa kufanya kazi na kupelekea mkojo kuwa mwingin.
2.maumivu; kikawaida Figo husaidia mifupa sasa ukishindwa kufanya kazi mifupa huvunjika vunjika kwa watu wazima na kushindwa kukua kwa watoto kwa sababu ya upungufu wa vitamini D inayotengenezwa na figo .
3.shinikizo la Damu kuwa juu; kwa sababu ya sumu zinazobakia mwilini .
4.damu kupungua kutokana na Figo kishindwa kuchuja uchafu na kishindwa kutengeneza homoni inayosaidia kuchuja chembechembe za Damu.
5.kukosa hamu ya chakula;
6;kupata kichefuchefu na kutapika ; dalili hii huonekana mapema kabla Figo haijapata madhara zuru
7.kuvimba miguu,mikono na usoni pia (oedema)
8.kushindwa kukojoa; Figo ukishindwa kabisa kufanya kazi yaan kuchuja mkojo mkojo unashindwa kutoka.
8.tumbo kuuma na kuvimba kwa sababu ya mkojo kishindwa kutoka.
9.sumu kwenye mwili; Figo ukishindwa kuchuja mkojo sumu hubaki mwilini na kusambaa na kupelekea madhara mengine.
10.mwili kuchoka.
11.kushindwa kulala na kutokuwa makini.
12.kizuzunguzungu kinachotokana na mwili kukosa nguvu na upungufu wa damu
13.mwanamke anaweza kukosa hedhi.
14.mwanaume anaweza kukosa hamu ya kufanya mapenzi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Je minyoo inaweza kusababisha mmeng'enyo wa chakula kuwa dhaifu?
Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa pombe wakati Mtoto akiwa tumboni
Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji.
Soma Zaidi...Habari za leo ndugu zangu mimi Ni dalili zipi hasa za awali zinazoashiria umeambukizwa ukimwi
Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.
Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...