Dalili za madonda ya koo
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Dalili za madonda ya koo
1. Maumivu makali kwenye Koo la hewa
2, kuvimba kwenye sehemu ya hewa na kukosekana kwa raha kwenye Koo l a hewa
3. Kushindwa kumeza chakula kwa sababu ya maumivu makali kwenye Koo la hewa
4, sauti kubadilika yaani inakwaluza kwa sababu ya maumivu kwenye sehemu ya hewa
5. Watoto wadogo kushindwa kula kabisa chakula kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu makali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.
Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,
Soma Zaidi...Je wiki 1 dalili zinaonyesha za maambukizi ya ukimwi na wiki 3 vipimo vinaweza kuonyesha Kama umeasilika
Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Uti wa Mgongo (Meningitis): Dalili za dharura.
Ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis) ni dharura ya kitabibu inayohitaji utambuzi na matibabu ya haraka. Makala haya yanachunguza kwa kina maana ya ugonjwa huu, visababishi vyake (bakteria, virusi, na fangasi), dalili hatarishi zinazohitaji huduma ya dharura, na njia za kujikinga. Lengo ni kutoa mwongozo wa kitaalamu kwa jamii ili kupunguza vifo na madhara ya kudumu yatokanayo na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...Dawa za kutuliza vvu zinaongeza damu
Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?
Soma Zaidi...Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu
Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
Soma Zaidi...