Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

DALILI ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUWA:

Kuna dalili za  hatari kwa mama wajawazito wanapokaribia  kujifungu  nazoKama 

1.Maji kutoka; hii hutokea chupa ikipasuka tu maji huanza kutoka na hii huashiria kuwa mama yupo tayari au au anakaribia kujifungua.

2.Miguu kuvimba

3.maumivu ya kichwa

4.damu kutoka 

5.kizunguzungu

 

Mama mjamzito akiona dalili Kama hizi awahi kituo Cha afya ili aweze kusaidiwa.

  Lakini mam mjamzito Kama amefikisha wiki 20 akiwa na mimba ni wakati wa Mtoto huwa anaanza kucheza tumboni kwahiyo kuanzia hizi siku na kuendelea mama mjamzito asiposikia Mtoto anacheza ni vyema kuenda hospitali haraka ili kuhakikishiwa Kwanini Mtoto hachezi tumboni labda ni;

1.amefia tumboni

2.au mama alifanya kazi nzito Sana .mama mama akifanya kazi nzito Mtoto naye anachoka anashindwa kucheza

3.mama kutokula.wakina mama wenye mimba huwa hawapend kula Mara nyingi hukimbilia kula udongo na mapemba na kunywa maji alaf wanalala Mtoto nae anashindwa kucheza lakin Kuna baadhi ya wengine mama akiwa na njaa ndo wanacheza kabisa lakin Mara nyingi hutokea kwa mama Ambao hawali.

4.mam kulala Sana .mama anaweza kulala mda mrefu alaf Mtoto akicheza hasikii Mtoto huwa anacheza mda wowote anaojisikia .

 

 

Matibabu

Mama wajawazito wanapokuwa na mimba tu huwa Kuna dawa wanapewa ili kumkinga Mtoto na mam mwenye

1.dawa za kuongeza damu .mam mjamzito huishidamu kwasababu ya kiumbe kilichopo tumboni kwahiyo hupewa dawa za kuongeza damu 

2.dawa za kumkinga Mtoto na malaria pamoja na mama mwenyew .lakini wakienda clinic hupewa na chandarua ili kujikinga na malaria.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/14/Sunday - 08:36:14 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2103

Post zifazofanana:-

Kazi za vitamini B na vyakula vya vitamini B
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kwa ujumla wake. Soma Zaidi...

Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa. Soma Zaidi...

Sababu ya uislamu kuwa ndiyo dini sahihi pekee
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Je dalili ya kuuma tumbo huanza baada ya wiki ngapi Toka mwanamke apate ujauzito?
Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Malengelenge sehemu za siri
Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal Soma Zaidi...

Kutoa vilivyo halali
Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Siri ya kifo yafichuka
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili. Soma Zaidi...

Hadithi ya waziri aliyeadhibiwa
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la tano (5)
Haya ni mafunzo ya php na hili ni somo la tano. Katika somovhili utajifunza namna ya kutengeneza functions. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa Donda koo
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na Soma Zaidi...

Fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo Soma Zaidi...