picha

Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Dalili za Mtu mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Kushindwa kukojoa kwa massa nane mpaka Kumi na mtu akiwa anakunywa  vinywaji vya kawaida.

 

Ukiona kuwa mtu anashindwa kukojoa kwa masaa nane mpaka Kumi na ukizingatia mtu anakuwa anakunywa vinywaji vya kawaida kama vile maji, juice, uji na mambo mengine yanayonyweka lakini mtu huyo hakojoi ndani ya maasaa nane mpaka Kumi anakuwa na shida kwenye kibofu Cha mkojo.

 

Kwa hiyo mtu huyo anapaswa kuwekewa kwenye uangalizi mkubwa Ili kuweza kuangalia shida Iko wapi na kumsaidia Ili aweze kutoa mkojo kwenye kibofu na kuendelea na maisha yake ya kama kawaida.na shida hii inaweza kutatuliwa kama kawaida.

 

2. Kuvimba kwa kibofu Cha mkojo mpaka hata ukimgusa mgonjwa sehemu ya chini ya tumbo unaweza kuhisi kibofu kama kimetuna.

 

Hali hii utokea pale ambapo mkojo mwingi huwa kwenye kibofu na uendelee kujikusanya ndani yake na hauwezi kutoka na baadae uendelea kujikusanya ndani ya kibofu Cha mkojo na hatimaye kibofu kuvimba na mtu akikigusa anaweza kusikia jinsi kulivyovimba na ukimgusa mgonjwa abatumia na kuhangaika sana kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mgonjwa anapona kabisa kwa kumpeleka mgonjwa hospitalini na kupata huduma muhimu inayostahili.

 

3. Magonjwa anakuwa na hamu ya kupitisha mkojo makini hawezi kufanya hivyo.

Hali hii utokea kwa mgonjwa pale anapokuwa na hamu ya kupitisha mkojo lakini hawezi kabisa na dalili zozote za kuwepo kwa mkojo kwenye kibofu zipo, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ambapo mkojo unakosa sehemu ya kupitia kwa hiyo wakati mwingine mgonjwa huwa na maumivu makali, kwa hiyo tukiona kitendo Cha namna hii mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi Ili aweze kuruhusu mkojo kupita  na kuendelea na maisha ya kila siku.

 

4.Mgonjwa anakuwa hatulii, anakuwa anasikia maumivu makali sana kwenye kibofu Cha mkojo.

Katika kipindi hiki mgonjwa anakuwa hatulii kwa sababu anatafuta njia yoyote Ili aweze kupitisha mkojo kwa hiyo kutulia ni shida, na mgonjwa anakuwa na maumivu makali kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya mkojo unazidi kujaa kwenye kibofu na misuli unaendelea kujaa na kuleta maumivu makali kwa mgonjwa hali inayofanya mgonjwa kusikia maumivu makali sana . Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi kwa sababu ya hali ngumu aliyonayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3044

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰3 ai web app     πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰5 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Aina za fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya aina za fangasi

Soma Zaidi...
Dondoo muhimu ya ki afya.

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya

Soma Zaidi...
Maradhi ya Ini na dalili zake, na vipi utajikinga nayo

MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Kuvimba ubongo (Encephalitis)

Post hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa ubongo ambao kitaalamu huitwa Encephalitis, Ni Maambukizi ya virusi ni sababu ya kawaida ya hali hiyo. Ugonjwa wa Kuvimba ubongo unaweza kusababisha dalili zinazofanana na Homa, kama vile Homa au

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Soma Zaidi...