image

Dalili za PID

Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana

Dalili za PID

1.UTI za mara kwa mara

Unapokuwa na  Maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ya mara kwa mara ni dalili kubwa ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pelvis, kwa sababu maambukizi kwenye pelvis usambaa mpaka kwenye kibofu Cha mkojo na kusababisha madhara mbalimbali ambayo mtu akienda kupima atagundulika na UTI kumbe ni maambukizi kutika kwenye pelvis.

 

2.Maumivu chini ya kitovu

Maumivu makali chini ya kitovu ni dalili mojawapo ya kuwa na Maambukizi kwenye pelvis, hii utokea pale ambapo maambukizi kutoka kwenye pelvis I usambaa Hadi kwenye chini ya kitovu na kusababisha maumivu chini ya kitovu, kwa hiyo baada ya kusikia dalili kama hizo mgonjwa anapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu zaidi.

 

3.Kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya na kuwasha sehemu za Siri.hii ni mojawapo ya dalili za maambukizi kwenye pelvic ambapo bacteria ushambulia sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kusababisha madhara ya kutokwa na harufu mbaya ukeni na pia kuwepo kwa  miwasho sehemu za Siri hasa wakati wa kukojoa au kama Kuna majimaji yoyote yamegusa sehemu za Siri pale penye maambukizi.

 

4.Kuvurugika kwa hedhi na mfumo wa homoni.

Kwa sababu ya maambukizi kwenye pelvis I usababisha hedhi kuvurugika na homoni kubadilika hali hii usababishwa na Maambukizi ambayo uenea zaidi kwenye via vya uzazi na kuaribu sehemu mbalimbali ambazo zinahusikana na hedhi kwa hiyo mda mwingine damu utoka kwa mabonge mabonge au pengine kubadilika kabisa kwa sababu ya maambukizi.

 

5. Kutokwa na maji kwenye sehemu za Siri yenye rangi ya kijani na rangi ya njano, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kusambaa kwenye sehemu za via vya uzazi na kusababisha maji ya rangi isiyo ya kawaida. Kwa hiyo tunapaswa kwenda hospitalini kupima na kutafuta dawa maana huu ugonjwa unatibika haspitalini.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3047


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

MAJIMAJI YA UKENI, PIA MIWASHO YA UKENI, FANGASI WA UKENI, UCHAFU UNAOTOKA UKENI, SARATANI AU KANSA YA KIZAZI
Soma Zaidi...

Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?
Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari? Soma Zaidi...

Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa
Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

je mwana mke ana weza kubeba mimba kama hayupo kwenye siku zake za hatali ama
Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine. Soma Zaidi...

mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini. Soma Zaidi...

Samahani nilikua naomba niulize swali mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia. Soma Zaidi...

VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME
Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu. Soma Zaidi...

Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha Soma Zaidi...

Dalili za PID
Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana Soma Zaidi...

Korodan kuwasha ni mja ya dalil ya fangas ,na ulimi kuchanka pmja na maumivu ndan ya mdomo wa juu na chini
Swali langu. Soma Zaidi...

Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako. Soma Zaidi...