image

Dalili za saratani ya ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.

Dalili za saratani ya ini.

1. Ngozi kuwa na rangi manjano na uwepo wa macho makavu.

Kwa kawaida ini likishambulia Usababisha ngozi kuwa na rangi ya manjano na pia kwenye macho panakuwepo na ukavu fulani hivi , ukiona mgonjwa wako ana Dalili kama hizi ni vizuri kabisa kufatilia matibabu au kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.

 

 

 

 

2. Kuvimba kwa tumbo.

Kwa kawaida kama kuna maambukizi kwenye inni na hiyo tumbo uvimba sana na hali ya kupumua ubadilika kwa sababu ya kutojisikia vizuri na mgonjwa kwa ujumla huwa najisikii vizuri kwa hiyo vipimo ni lazima.

 

 

 

 

3. Kuchoka na kuwa dhaifu wa mda mrefu 

Kwa kawaida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hali ya mwili kutokuwa vizuri kwa hiyo mgonjwa uwa anajihisi  dhaifu kwa mda mrefu hii ni kwa sababu ya ini kushindwa kufanya kazi vizuri,

 

 

 

 

 

4. Kukosa hamu ya kula na kupelekea kupungua kwa uzito.kwa sababu ya mwili kuwa mzito mgonjwa kwa kawaida ikiwa hamu ya kula pia na kupelekea kupungua kwa uzito.

 

 

 

 

5. Maumivu ya tumbo hasa katika eneo la kati kwenye upande wa ini kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye inn.

 

 

 

 

6. Miguu kuvimba.

Kwa kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi miguu nayo uanze kuvimba.

 

 

 

 

7. Kuongezeka kwa kasi ya mapigo ya moyo.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye ini na vile vile kasi ya mapigo ya moyo nayo uongezeka kwa kasi sana.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1428


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.
Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge. Soma Zaidi...

Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida. Soma Zaidi...

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis. Soma Zaidi...

NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: kuosha mikono, kuwa msafi, kuvaa viatu, maji safi, kuivisha nyama vyema
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo. Soma Zaidi...

Minyoo Ni nini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya minyoo Soma Zaidi...

Sababu za vidonda sugu vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu Soma Zaidi...

Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi? Soma Zaidi...

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda. Soma Zaidi...

Dalili za mimba changa kutoka
Post hii inaenda kuzungumzia zaidi kuhusiana na mimba zinazoharibika . mimba huweza kuaribika au kutoka anzia miezi 3 na kuendelea . Soma Zaidi...

Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha. Soma Zaidi...

Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino Soma Zaidi...