Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Dalili na ishara za saratani ya utumbo mdogo ni pamoja na:
1. Maumivu ya tumbo
2. Ngozi kuwa na manjano na weupe wa macho (jaundice)
3. Kuhisi dhaifu au uchovu usio wa kawaida
4. Kichefuchefu
5. Kutapika
6. Kupungua uzito
7. Damu kwenye kinyesi, ambayo inaweza kuonekana nyekundu au nyeusi
8. Kuhara kwa maji
Jinsi ya kujizuia na ugonjwa wa Saratani ya utumbo mdogo.
1. Kula aina mbalimbali za matunda, mboga mboga na nafaka. Matunda, mboga mboga na nafaka nzima zina vitamini, madini, nyuzinyuzi ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari ya saratani na magonjwa mengine.
2. Punguza kunywa pombe kupita kuasi ikiwezekana acha kabisa. Ukichagua kunywa pombe, punguza kiwango cha pombe unachokunywa kisizidi kinywaji kimoja kwa siku .
3. Acha kuvuta sigara Tafuta njia mbadala ambazo zitakutengenezea mazingira ya kuacha kabisa kuvuta sigara au kutumia tumbaku.
4. Fanya mazoezi . Jaribu kupata angalau dakika 30 za mazoezi.
5. Punguza uzito wako. Ikiwa una uzito mzuri, fanya kazi ili kudumisha uzito wako kwa kuchanganya chakula cha afya na mazoezi ya kila siku.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.
Soma Zaidi...HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni
Soma Zaidi...