Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Dalili na ishara za saratani ya utumbo mdogo ni pamoja na:

1. Maumivu ya tumbo

 

2. Ngozi kuwa na manjano na weupe wa macho (jaundice)

 

3. Kuhisi dhaifu au uchovu usio wa kawaida

 

4. Kichefuchefu

 

5. Kutapika

 

6. Kupungua uzito

 

7. Damu kwenye kinyesi, ambayo inaweza kuonekana nyekundu au nyeusi

 

8. Kuhara kwa maji

 

    Jinsi ya kujizuia na ugonjwa wa Saratani ya utumbo mdogo.

 

1. Kula aina mbalimbali za matunda, mboga mboga na nafaka.  Matunda, mboga mboga na nafaka nzima zina vitamini, madini, nyuzinyuzi ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari  ya saratani na magonjwa mengine.  

 

2. Punguza kunywa pombe kupita kuasi ikiwezekana acha kabisa.  Ukichagua kunywa pombe, punguza kiwango cha pombe unachokunywa kisizidi kinywaji kimoja kwa siku .

 

3. Acha kuvuta sigara  Tafuta njia mbadala ambazo zitakutengenezea mazingira ya kuacha kabisa kuvuta sigara au kutumia tumbaku.

 

4. Fanya mazoezi .  Jaribu kupata angalau dakika 30 za mazoezi.

 

5. Punguza uzito wako.   Ikiwa una uzito mzuri, fanya kazi ili kudumisha uzito wako kwa kuchanganya chakula cha afya na mazoezi ya kila siku.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2002

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Watu walio hatarini kupata UTI

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI

Soma Zaidi...
Dalili na Ishara za mawe kwenye figo

Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.

Soma Zaidi...
Yajue maambukizi kwenye epididimisi kwa kitaalamu huitwa (Epididymitis)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.

Soma Zaidi...
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye figo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Soma Zaidi...