picha

Dalili za tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine.

Dalili za tezi dume.

1. Kwanza kabisa Mgonjwa anaweza kupata tatizo la kukojoa mkojo ukiwa pamoja na damu.

Kwa kuwepo kwa Maambukizi ambayo kwa kiasi kikubwa yanakuwa yameshambuliwa sehemu za tezi kwa hiyo mkojo ukitoka unakuwa na damu.

 

2. Pengine uume unashindwa kabisa kusimama au ukisimama ni kwa shida na hauchukui mda mrefu.

Kwa sababu sehemu za mishipa ambayo inakuwa imeshikilia uume ili usimame wakati wa kujamiiana ushambuliwa kwa hiyo inakuwa haina nguvu ya kufanya uume usimame.

 

3. Kuhisi kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku.

Hali hiyo utokea kwa sababu ya sehemu za kibofu na mishipa yake ambayo utumika kuruhusu mkojo kutoka nje huwa imelegea kwa sababu ya kuenea kwa Maambukizi kwenye mfumo wa utunzaji wa mkojo kwa hiyo Mgonjwa ukojoa sana hasa wakati wa usiku kwa sababu usiku kila mfumo unakua umetulia vizuri kabisa.

 

4. Pia wakati wa kukojoa mkojo utoka kwa mtiririko dhaifu.

Kwa sababu ya kuenea kwa Maambukizi na mishipa ya kibofu nayo ulegea kwa hiyo na spidi ya mkojo upungua.

 

5. Kupata maumivu kwenye kibofu cha mkojo na kutilia kwa mkojo baada ya kukojoa .

Kwa hiyo utamkita mtu anahangaika anapokuwa anakojoa na pia kwa wakati mwingine mkojo unaweza kutiririka chini hata kwenye nguo na ukiwa kidogo kidogo.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizi mtu anapaswa kuwahi hospitalini mara moja ili kuweza kupata matibabu haraka kwa sababu kama shida haijakuwa kubwa walau matibabu yanaweza kusaidia chochote na pia tunapaswa kujua kuwa sio Dalili zote ni za tezi dume ili kuhakikisha ni lazima kwenda hospitalini.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1979

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Fahamu dalili za mapacha walio unganishwa

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar

Soma Zaidi...
maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimba

Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?

Soma Zaidi...
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza

Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.

Soma Zaidi...
Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito

Soma Zaidi...
Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.

Soma Zaidi...
Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.

Soma Zaidi...
UTI na ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito

Soma Zaidi...
Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa

Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.

Soma Zaidi...
Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba ambayo inataka kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.

Soma Zaidi...