picha

Dalili za ugonjwa wa fungusi uken

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.

Dalili za ugonjbwa wa fungusi uken

1. Kuwasha sehemu za Siri

2. Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana

3. Kuhisi kuwasha moto  baada ya kujamiiana

4. Kuwepo kwa vidonda ukeni

5. Kuvimba na kuwepo kwa rangi nyekundu katika mdomo wa nje wa uke

6. Kuhisi maumivu makali wakati wa kukojoa 

7. Uchafu kutoka ukeni unaweza kuwa nzito.au mrahini

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3030

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 web hosting     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dalili za fangasi uken

Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu ugonjwa wa makende kushindwa kushuka

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayoweza kusababisha Saratani.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani.

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za shambulio la moyo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo.

Soma Zaidi...
Faida za kufanya mazoezi ya viungo kwa afya ya akili.

Tunapofikiria kuhusu mazoezi ya viungo, mara nyingi akili yetu inaenda moja kwa moja kwenye kupunguza uzito, kujenga misuli, au kuzuia magonjwa ya moyo. Hata hivyo, faida kubwa zaidi ya mazoezi iko kwenye afya ya akili zetu. Makala haya yanachambua jinsi harakati za mwili zinavyoweza kuwa tiba asili ya msongo wa mawazo, wasiwasi, na sonona, na jinsi unavyoweza kuanza leo.

Soma Zaidi...