Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo.
Dalili za ugonjbwa wa fungusi uken
1. Kuwasha sehemu za Siri
2. Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana
3. Kuhisi kuwasha moto baada ya kujamiiana
4. Kuwepo kwa vidonda ukeni
5. Kuvimba na kuwepo kwa rangi nyekundu katika mdomo wa nje wa uke
6. Kuhisi maumivu makali wakati wa kukojoa
7. Uchafu kutoka ukeni unaweza kuwa nzito.au mrahini
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Kitabu cha Afya π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 web hosting π5 Kitau cha Fiqh π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Kichwa kuuma upande mmoja (Migraine): Vyakula vya kuepuka.
Migraine (kichwa kuuma upande mmoja kwa namna ya kugonga au kudunda) ni zaidi ya maumivu ya kichwa ya kawaida; ni hali ya kineva inayoweza kuambatana na kichefuchefu, kutapika, na usikivu mkali wa mwanga au sauti. Ingawa visababishi ni vingi, tafiti zinaonyesha kuwa vyakula fulani ni vichochezi (triggers) vikuu vya mashambulizi haya kwa watu wengi. Makala haya yanakupa mwongozo wa vyakula vya kuepuka ili kupunguza mzunguko na ukali wa maumivu ya migraine.
Soma Zaidi...Chanzo cha VVU na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo m ali mbali vinavyohisiwa kuwa chanzo cha UKIMWI
Soma Zaidi...Maumivu Wakati wa Hedhi: Sababu na Suluhisho
Post hii inachunguza hali ya maumivu wakati wa hedhi (dysmenorrhea), ikigusia sababu za kibaolojia zinazosababisha maumivu haya, dalili za kawaida, na mbinu mbalimbali za nyumbani na kitiba za kupunguza usumbufu huo ili kuboresha hali ya maisha ya mwanamke.
Soma Zaidi...Dalili za Dengue.
Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg
Soma Zaidi...βJe, Fangasi Ukeni Huambukiza?
βUgonjwa wa fangasi ukeni (Vaginal Candidiasis) ni miongoni mwa changamoto kubwa za kiafya zinazowasumbua wanawake wengi duniani. Swali kubwa ambalo limekuwa likitatanisha wengi ni iwapo ugonjwa huu unaambukiza, hasa kupitia kushiriki tendo la ndoa. Makala haya yanajibu swali hilo kwa kina, yanachambua jinsi maambukizi yanavyotokea, na kutoa ukweli wa kisayansi (Fact Check) ili kuondoa dhana potofu mitaani.
Soma Zaidi...