DALILI ZA UGONJWA WA HERPES SIMPLEX AU VIPELE KWENYE MIDOMO NA SEHEMU ZA SIRI


image


Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.


Dalili za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye sehemu za siri.

1.mgonjwa anakuwa na maumivu kwenye sehemu za siri na kwenye midomo.

Maumivu haya utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo ufanya midomo kubwa na mipasuko na kwenye sehemu za siri hivyo kunakuwepo na mipasuko ambayo Usababisha maumivu.

 

2.Rangi ya midomo ubadilika rangi na kuwa nyekundu hivyo hivyo na kwenye sehemu za siri uwa nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa wadudu ambao Usababisha kubadilisha rangi ya kawaida kwenye midomo na kwenye sehemu za siri.

 

3.Kuwa na miwasho kwenye midomo na hasa hasa kwenye sehemu za siri, kwa hiyo mda mwingi utaona Mgonjwa anajikuna kuna sana kwenye sehemu za siri kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi na virusi ambavyo Usababisha kuwasha sehemu hizo.

 

4.Kuwepo kwa vi uvimba vidogo vidogo vyenye maji ambavyo kwa kitaalamu huitwa brister na uweza kupasuka pasuka na kutoa maji maji ikiwa hayo maji yakimgusa mtu mwingine anaweza kupata Ugonjwa huu kwa hiyo ni vizuri na kuwa makini katika kujilinda kama mwenzetu amepatwa na Ugonjwa huo.

 

5.Pia ugonjwa huu kwa kawaida ushambulia sehemu laini kama kwenye midomo na sehemu za siri, inaweza kutokea wadudu hao wanasambaza kutoka kwenye midomo na kufika kwenye sehemu ya jicho ambapo Usababisha matatizo kwenye macho na kwa wakati mwingine tatizo lisipogundulika mapema Mgonjwa anaweza kuwa na shida ya kuona.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili za ugonjwa huu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu na kuhakikisha kuwa ugonjwa huu hausambai kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Kwa wale wenye Magonjwa yaanayosababisha kinga kushuka tumieni dawa zinazopaswa na kula mlo kabili na dalili hizi zitatoweka na hali ya mgonjwa itakuwa kawaida.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu. Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko Soma Zaidi...

image Upungufu wa protin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini Soma Zaidi...

image Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa. Soma Zaidi...

image Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu Soma Zaidi...

image Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri
Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa. Soma Zaidi...

image Mkojo wa kawaida
Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo. Soma Zaidi...

image Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo Soma Zaidi...

image ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya. Soma Zaidi...