Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Dalili za ugonjwa wa inni
1. Macho na ngozi ya viganja, na nyayo za miguuni kubadilika rangi na kuwa ya njano.
Kwa mtu Mwenye maambukizi kwenda ini rangi ya viganja na nyayo za miguuni kubadilika na kuwa na rangi ya njano hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ini maambukizi haya uenea sana kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha baadhi ya sehemu ya mwili kuwa ya njano, kwa hiyo baada ya mtu kuona dalili kama hizi zinatokea anapaswa kwenda mapema hospitalini kwa ajili ya kuchukua vipimo kwa hiyo jamii inapaswa kujua Dalili za mtu Mwenye Homa ya inni kwa kuangalia dalili ya Aina hii.
2. Mara nyingine na rangi ya mkojo ubadilika na kuwa na rangi ya njano.
Kwa watu walio wengi ambao wamashambuliwa na ugonjwa huu rangi ya mkojo nayo ubadilika na kuwa na rangi ya njano, hali hii ni kwa sababu ya maambukizi hasa kama yameingia sana kwenye mwili usambaa mpaka kwenye mfumo wa mkojo na kusababisha rangi ya mkojo kubadilika kuwa na rangi ya njano, kwa hiyo kitu ambacho tunapaswa kufanya ni kwamba baada ya kuona dalili kama hii tunapaswa kwenda hospitalini kupima Ili kujua uhakika kama ni maambukizi kwenye ini au ni magonjwa mengine na kwa wale ambao hawanywi maji pengine wanaweza kupata na tatizo hili la rangi ya mkojo kuwa ya njano kwa hiyo tunapaswa kupima Ili kujua afya zetu mara kwa mara.
3. Kwa watu wenye maambukizi kwenye inni kinyesi Chao uwa na utando mweupe mweupe ambao ufanana na Ute , kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizi zinaambatana mtu anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa ajili ya kupima na kuhakikisha kuwa kama ni maambukizi ya ugonjwa wa inni, kwa hiyo vipimo ni vya lazima kwa sababu kwa vipimo tunaweza kujua maambukizi ya gonjwa hili la inni na kuchukua tahadhari Ili kuepuka kuwaambukiza wengine.
4. Dalili nyingine ni kama vile kupoteza hamu ya chakula kwa sababu maambukizi yanakuwa yameenea sehemu mbalimbali za mwili ambapo mtu upoteza na Ile hamu ya Kawaida ya kupata chakula hali hii ya kupoteza hamu ya kula usababisha na mgonjwa wa Homa ya inni kuishiwa nguvu mara kwa Mara na pengine anapotaka kula chakula uhisi kichefuchefu na kutapika hai hii usababishwa na kitendo Cha kuongezeka kwa maambukizi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hawa huweza kuingia kwenye mfumo wa damu na kuenda maeneo mengine nyeti sana ya mwili.
Soma Zaidi...Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis.
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria.
Soma Zaidi...Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija
Soma Zaidi...